Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Mungu anatupenda na alitupa akili tuitawale dunia,Alitupa freewill.
Binadamu akakata miti, kuchoma misitu,akaua wanyama,akajenga na kutawala.
Binadamu akatengeneza gari, ndege,treni,meli na bunduki.Akatengeneza ndege na nuclear bombs.Akaua na kutesa wenzake.
Binadamu akamtumia binadamu mwenzake katika majaribio ya magonjwa na madawa(rejea waisraeli walichofanyiwa na Nazi pamoja na the Tuskegee syphilis experiment huko US).
Binadamu akaona sayansi ndiyo kila kitu.
Binadamu akajaribu kujiumba.Binadamu katoa mimba.Kajibadilisha maumbile.Kafanya kila atakalo.

Binadamu kachoka sasa.Binadamu amefika stage anajiogopa.Anaitafuta Amani ya moyo.Sayansi haijampa majibu aliyokuwa Anataka.Anaitafuta Amani katika homosexuality labda.
Kaona kila juhudi aliyoifanya haijamletea chochote zaidi ya uharibifu aliokuwa anaukwepa.Binadamu Ana hasira.Mungu aliyemkana sikuzote leo ndo ameona aje kumtupia lawama.
Anaona akisema Mungu hayupo atakuwa amemkomoa Mungu.
All the best humanity.

Mimi simwoni mtu anayekataa uwepo wa Mungu mjinga,kila mtu na maamuzi yake na sababu zake binafsi za imani.Siforce tufanane.

Ila mimi naamini uwepo wa Mungu.Sayansi ndogo ninayoijua mimi haikunifanya kamwe kutoamini uwepo wa Mungu,sanasana imenizidishia Imani.
 
1....jehanamu iliumbwa kwa ajili ya ibilisi na malaika wake, ila wewe binadamu unapofanya matendo ya ibilisi yaani kuungana na ibilisi nawe unakuwa sehemu yake ibilisi....kumbuka hao malaika hata huyo ibilisi mwenyewe walikuwa malaika wa Mungu
Ikitokea Ibilisi akaomba msamaha kwa Mungu.Je unavyojua anaweza kusamehewa?
 
Umesema ni mawazo yako, hivyo hapo hakuna shida, inawezeka ukawa unatumia akili au akili inakutumia wewe.
Mungu au Umungu ni hali ya umoja, umungu ni umilele, mungu hana uhysiano kabisa na muda ni timeless, mungu ni formless,mungu hausiani kabisa na maumbile/creation.Mungu hali ya ukamilifu/perfect,na mara nyingi kitu au hali iliyokamilika huwa haitendi,
Kwa kifupi tu haya maumbile/creation hayana ukweli wowote, ni uongo, tunaota, (creation ni illusion).wewe mwenyewe ni mkusanyiko wa illusion, kama tukisema tuondoe hii illusion hakutakuwa na kitu au mtu yoyote ila mungu pekee ambaye ni self created and depend on nothing.
LABDA KAMA UNAMZUNGUMZIA ANTHROPOMORPHIC GOD.
 
Ukiona watu wanaanza kuhoji na kuchukua tahadhari za namna hii, ujue IQ za watu zinaongezeka.
Tuendako taifa litakuwa na watu makini wasio laghaiwa kirahisi kwa mawazo mfu kama vile uwepo wa Mungu.
Hata kama Mungu angekuwepo angeshajinyonga kwa aibu.
 
Ikitokea Ibilisi akaomba msamaha kwa Mungu.Je unavyojua anaweza kusamehewa?
Hilo ni suala la Mungu sio langu kusema, ye ndiye aliyekosewa na ye ndo ataombwa msamaha mi takuwaje wa hilo
 
Ukiona watu wanaanza kuhoji na kuchukua tahadhari za namna hii, ujue IQ za watu zinaongezeka.
Tuendako taifa litakuwa na watu makini wasio laghaiwa kirahisi kwa mawazo mfu kama vile uwepo wa Mungu.
Hata kama Mungu angekuwepo angeshajinyonga kwa aibu.
Mkuu unachekesha kweli.

Subiri zamu yk punde inakuja
 
Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa.

1) Kama kweli Mungu ni upendo, kwanini aumbe jehanamu ya kutuchoma milele sisi tulio waovu (lyk for billions and trillions of years). Si heri angetumaliza tu kuliko kututesa milele? Kwenye shuhuda nyingine wakristo huenda motoni kwa dhambi moja tu ambayo hawakutubu. (I know hell was originally intended for the devil and his demons & not 4 humans)

2) Kwanini alimruhusu shetani kumjaribu Adam ikiwa alijua kuwa wanadamu wengi tutateseka duniani, tutaanguka maovuni, na atatutupa Jehanamu?

3) Kama Mungu anatuambia tukitenda dhambi na tusipomtii tutachomwa motoni, Je wakristo na waislamu (baadhi yetu) tutakuwa tunamtumikia Mungu kwasababu tunampenda na tunataka kumjua zaidi? au tutakuwa tunamtumikia kwasababu tunaogopa kwenda Jehanamu?

4) Mungu husema mawazo yake si kama ya kwetu, na njia zake zipo juu zaidi, nakubaliana na hilo. Maybe kutuchoma motoni it's in his nature, that's the way He is and we have to live with it.

5)All in all Mungu ana hekima kuliko mimi, coz ni muumba wa kila kitu. Maybe katika hekima yake yote, hii ndo decision bora aliokuja nayo. Labda ana reason nzuri behind all this ambayo mm siijui. Maybe Mungu mwenyewe akinijibu face 2 face, nitabadili mtazamo wangu kuhusu yeye.

6) Kingine kinachonikasirisha pia ni yeye kuruhusu mimi kuja hapa duniani, naona ni heri nguvu aliotumia kuniumba mimi angetumia kufanya kitu kingine, nachukia + najuta kuwa hapa duniani to see all this, dunia imejaa waovu (mm nikiwa mmoja wapo) pamoja na mateso ya kila namna.

Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa ntakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo. So im just keeping it real.
Pole sana. Mungu yupo na ni mkuu kuliko wote ila yeye sio dikteta kama upande ule mwingine. Ametuumba binadamu kwa mfano wake yeye na kutupa utashi wa mambo mbalimbali ya kumpendeza yeye, na kutuweka katika dunia nzuri na yakupendeza. Na binaadamu alipewa uweza, nguvu na mamlaka juu ya viumbe vyote kwa kumtegemea yeye. Hivyo binadamu alipewa nguvu kamili kupitia Adam, tatizo lilikuja baada ya kuasi bustanini kwa adam kudanganywa na mkewe ambapo naye alidanganywa na nyoka. Akapoteza nguvu aliyopewa maisha magumu yakaanza hapo.

Lakini kwa huruma yake tena Mungu huyo akamleta mwanae Yesu kristo awe mwokozi wa ulimwengu huu. Mwanadamu akarusishiwa nguvu uweza na mamlaka tena n kumtesa ibilisi na malaika zake.

NB; Kilichopo sasa mashambulizi ya shetani ni mazito sana nae kwa kuwa alishampata mwanadamu toka bustanini. Hivyo zamani alitumia sana waganga wa kienyeji, wachawi, nk huku Mungu akitumia Wachungaji, wainjilisti, mapadre, walimu wa neno na nk. Lakini Shetani lengo lake kuu ni kushindana na Mungu na kutaka kuonesha ana nguvu nyingi kwa watu, sasa hivi naye anatengeneza wachungaji, wainjiliasti, manabii, mitume na makuhani kama watumishi wa Mungu na makanisa makubwa lakini ni walewale waganga wa kienyeji wamejibadili majina tu kuyachukuwa majina ya kiungu.

Kwa mfano kama sasa kuna kristo wa dunia aambaye anaandaliwa kwa ajili ya dunia kwa new world order, bado tunaandaliwa mazingira ya kushangaa tuyaonapo hayo yajapo. Kwa hiyo hayo makanisa yanapotaja jina la yesu sio Yesu yule mwokozi wa ulimwengu huu bali yule wa ulimwengu huu.

Na zile dini kongwe katoliki na Waluteli nako giza limeingia ambako yanabeba waumini wa mataifa mengi. Shetani amepenyeza mawakala wake wengi na wanahudumia watu kiroho. Hivyo kupata ukweli juu ya ukuu wa nguvu za Mungu imekuwa ngumu sana na unakuta kanisa linakikutana mara moja kwa wiki. Halafu lisaa limoja unasikia neno la Mungu mwa lisaa the rest hours unakutana na ya dunia tu. Hivyo tuanaona ni kawaida tu na hata likitokea kitu cha ajabu hamna anaejali. Na hii imetupelekea tuwe watumwa kwa watumishi (ministry) kutafuta kujua kuhusu Mungu sasa sijui unaliashwa chakula gani huko. Mkuu la muhimu sana omba sana Mungu akusaidie sana kukuonesha kweli usifuate watumishi you will be stressed.
 
Unayemchukia yupo na Ameyasikia yote usemayo.
Sisi hatuna la kukushauri zaidi ya wewe kumuomba tena kwa maombi ya mzigo akubadilishie Mawazo yako na Maisha yako ili usiwe Agent wa Ibirisi.
 
Bado una nafasi ya kuitafuta kweli zaidi.. Hujachelewa ila nnamini ipo siku utalia na Kuomba MUNGU akusaidie.. Ikiwa umeamka salama, smart phone mkononi na una afya njema kabisa na pengine una uhakika wa kula au kufanya chochote utakuwa na mawazo hayo.. Ni ulevi tu ulevi wa kipuudhi kabisa kujiona kuwa we ni zaidi ya wengi wanaoamini, ndio ulevi huo utakufanya uwaite wafia dini au jina lolote lile wale wanaoamini... Ila ipo siku na mda kwa mdomo wako na akili yako utamuita sana MUNGU walau ajidhihirishe kwako hta kwa dk moja.. Utakuwa pia umezungukwa na watu huku wakibubujikwa na machozi na dua zao zote zikielekezwa kwa MUNGU.. Hautakuwa na smartphone yako wala huku JF hawatojua kuwa unaexist tena ila itakuwa ni kati yako wewe na MUNGU wako... Sina neno sahihi la kukuelezea.. Lakini walau nimeweza ili kutimiza wajibu wangu kama mwanadam tu.. Kwaheri na MUNGU akubariki
Nimetamani kungekuwa na kitufe cha dislike ili nidislike comment yako. Mkuu huyu mtoa uzi ni Muhanga sawa na mgonjwa wa Ukimwi. Anatakiwa kupewa mtazamo mpya wa kisaikolojia ili aelewe kwann yote hayo anayoyaona mabaya yapo hivyo, kwann Mungu anaacha mabaya yaendelee kutokea.Mimi namuona mtoa Uzi ni mtu anayehitaj msaada wa kimtazamo zaidi tofauti na wengi wanaomuhukumu na kumuona kama mtu mwenye kiburi cha uzima wakati ni wazi huyu ndugu hafurahii maisha ya Duniani pengine kutokana na magumu anayoyapitia. Ngoja niishie apa nitarudi na ushauri wangu kwa muhusika
 
Mim ni mwana science,Ulimwengu una aproximately bilion 900 za galaxies,dunia hii tuliyomo ipo kwenye moja ya galaxies hizo,inaitwa milky way,.galaxies hiz zina nyota zake,(JUA LETU,ni moja ya nyota)..ukubwa wa galaxy ndio una determine uwingi wa nyota,..mfano galaxy yetu ina nyota zake nying tuu moja wapo ndo hili jua,hii tena ni nyota ndoogo saana ambayo,(jua ni kubwa kuliko dunia mara milion1),galaxy yetu ni moja ya galaxy ndogo saaaana.kuna galaxy zenye nyota zaid ya 10,..so kila nyota hubaatika kuzungukwa na sayari,mfano nyota yetu jua inazungukwa na sayar zijulikanazo ambazo ni almost 9,sayari hizi zina miaka bilion na ma bilioni,mfano sayar yetu dunia ina miaka almost 4.5bilion na ni sayar ndoogo sana kulinganisha na hizo zilizoko kwenye galaxies zingine..sasa mifumo yooote hii inalindwa na nguvu za asili ambazo inazifanya zi balance bila kuingiliana ama kuleteana mushker zenyew kwa zenyew,..nikimaanisha zna self control ambayo iko systematic.,na well balanced..kwa sayansi hii peke yake,inakupa kitu,..ok tuje kwa viumbe,tukiacha wanyama wengne na mimea na bacteria na virus na wadudu wengne amba wana mifumo yao,..kila binadam umuonae dunian hapa ana kitu kwenye seli yake kinaitwa DNA,..cha ajab kila bnadam ana aina yake pekee ya hii kitu,yan huwez fanana na mwenzio,..tuko bil.7,kila mtu ana take pekee,na mifumo yetu ya mwili iko systematic,moyo ,ubongo,mapafu,damu,mifupa etc,..hii pia ni vilevile kwa mimea na wanyama na wadudu,..pia tukija kwa vitu ambavyo sio viumbe hai,ni same thing,kila rock/miamba ina identity yake pekee.so..kwa science hii kubwa na uwezo huu mkubwa,..Mungu wa ukweli ambae huenda sio huyu tunaefundishwa au kusikia ambae kwa mafundisho yaliyopo yanamfanya awe kama wa kawaida i mean kama bnadam vile,na ndomana kunakua na controversies nying watu wanakua hawaelew, hii ni very wrong,..Huyu alietuumba ,yan original Creator of all atakua anatushangaa sana.tunahangaika inshort...huyu creator ni very powerful,na science yake na phylosophy yake si ya kitoto,hana kwanza mda wa ku kedeal na mihemko ya watu wasio elewa au niseme kaumba kila kitu kiwe na self control kwasabab hakupenda kumuingilia mtu.so haya tunayo experienc ulimwenguni ni matokeo ya the life we choose n decide by ourselves,mfano,kufa,kuzaliwa,ulemavu,njaa,shibe,..etc n thts y leo hii ukiamua kujitoa dunian ,u can do tht,or kusitisha maisha ya mtoto alie tumbon,u can do tht.so doctrine aliyonayo the creator of all,ni kuubwa kuliko unavyodhani,.na projects anazozifanya the creator(We call him GOD) ni huuge ambazo haziko kwenye upeo wa mwanadamu.so The creator hajaumizwa na alichoandika huyu bwana sabab anajua hafaham the truth..The creator hana mda wa kumchoma mtu or sjui nin,sjui jehanam,etc na story nyiing za uongo,he created,n the creation goes on and on and on kwan sis wenyew we do sub creations humu humu ulimwengun...niishie hapo,kuna meng sana
 
Back
Top Bottom