griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 440
Mtoa mada nina imani mungu amefurahishwa nae tena sanaMungu angetak kukuangamiza haitachukua hata sekunde,kuna sabab upo hai,..maumiv unayopitia mpaka umkufulu ivi yote yanakupeleka uko unakotakiwa ufike,kua na imani na tubu dhambi zako,Mungu atakuongoza,coz ni upendo,..jitaidi uwe MTU wa sala sana zitakusaidia
Mbna mnamfanya mungu katili hivyo??mtoa mada anashindwa kumwabudu mungu bila unafiki...mpeni msaada si kumtishia hivyo...wapi amekufuru au kukufuru ni nini??
jw library