Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

Mshana hata hapa kwenye Inner self tunaomba ufafanuzi zaidi, na hili somo lingine la who am I? .kama utaweza pata nafasi ya kulifafanua zaidi, au kuliandalia somo kabisa
Asante
Okay Sara ila kwa sasa sitaweza niko hoi ngoja nikipumzika akili ikipata nguvu mpya nitarejea.. Pia nadhani kuna mada zake tayari ngoja nione takutag kama zipo
 
Bahati mbaya imani zilizotangulia kuja Africa zimejenga "concervertism"miongoni mwa wanaozifuata kiasi cha kuogopa kujifunza nje ya box. Kimsingi Vegetarianism inasaidia body and soul ila imani zilizotangulia zime base kwenye soul zaidi.
Angalau Wasabato wanafundisha sana kuhusu chakula, ila kama ulivyosema mengi yamakanisa yamejikita sana katika soul
 
Karibu sana mkuu. Kupitia meditation na kuishi maisha ya ukweli na yenye reality utaona life katika perspective nyingine kabisa. It will change your life completely. Pia waweza kuangalia YouTube na kusoma vitabu mbalimbali. Hivi vitu sio dini, anyone can do it to connect them self with their heart and mind.

Welcome.
Kweli tupu mkuu
 
Sijafanikiwa kuacha kula nyama kabisa lakini ni ships likizo ndefu bila nyama. Niweza kukaa wiki 4-6. Cravings zinaniangusha na siku nikila ninaweza kwenye oven na supu.

Kuna option nyingi sana kwa vegetarians, uwe yu mpishi mzuri. Kwa Tanzania kuna vyakula jamii ya kunde, mboga mchicha, majani ya kunde, majani ya maboga, kisamvu.

Vyakula vya mizizi kama viazi na mihogo unachemsha tu na kula na salad
 
Sijafanikiwa kuacha kula nyama kabisa lakini ni ships likizo ndefu bila nyama. Niweza kukaa wiki 4-6. Cravings zinaniangusha na siku nikila ninaweza kwenye oven na supu.

Kuna option nyingi sana kwa vegetarians, uwe yu mpishi mzuri. Kwa Tanzania kuna vyakula jamii ya kunde, mboga mchicha, majani ya kunde, majani ya maboga, kisamvu.

Vyakula vya mizizi kama viazi na mihogo unachemsha tu na kula na salad
Mimi pia nikichemsha viazi, ndizi au mihogo huwa nakula na mayai ya ku bake

green-veg-bake-04.jpg green-veg-bake-04.jpg
.
 
Kwa maana hiyo tusinywe hata maziwa...?
Ukiamua toka rohoni mwako kuacha kila kitu kitokanacho na wanyama, basi hata maziwa ni kweli hutokunywa, Ila mimi nakunywa maziwa na nakula mayai pia.
Wasabato sana vitabu vingi sana vya kufundisha kutokula nyama, unaweza nunua kimoja kwa afya yako
asante
 
Nitajaribu hii asante, salad ya tango, nyanya na parachichi na limao kwa mbali ni nzuri kulia ndizi za kijani zilizochemshwa.
Hii ni nzuri sana kama upo busy unapika mala moja kwa week, then unawake kwa friji unakula wiki moja.
asante na hiyo yako ntajaribu
 
Kwa maelezo ya imani ya kirasta ina maana deadly prey kama mamba, chatu, simba, cheetah na fisi (to mention few) wanapoua hawa akina swala, nyumbu na zebra wanatenda makosa? Kwamba karma itawarudia or otherwise?
 
Ukatili wa kwanza huanzia pale mtu alapo nyama specially nyama nyekundu!..
 
Kwa maelezo ya imani ya kirasta ina maana deadly prey kama mamba, chatu, simba, cheetah na fisi (to mention few) wanapoua hawa akina swala, nyumbu na zebra wanatenda makosa? Kwamba karma itawarudia or otherwise?
Karma inarudi kama kawa
 
I am commenting this as vegan and not vegetarian...there is some difference btn but its not a discussion for today...and in fact the similarity is both we dont consume meat so i can say something...mostly vegetarian they dont consume meat for the sake of health and environment reasons
 
Back
Top Bottom