Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

na wafanyabiashara wengi huwa kabla ng'ombe hajachinjwa kama alikuwa dhaifu huwa wanampiga sindano ya kumnenepesha,sasa kisheria hiyo dawa aliyochomwa inatakiwa kwa muda fulani ndio achinjwe,lakini nani anaweza fanya hivyo kwa wafanya biashara wa leo
Ndio maana magonjwa ya kansa yanaongezeka kwa kasi kubwa
 
Ndio maana magonjwa ya kansa yanaongezeka kwa kasi kubwa
sana kaka,hiyo pay ya nyama bora ninunue matunda nile,na operation ya pili itakuwa ya kupiga marufuku utumiaji hovyo wa mafuta nyumbani kwangu,nayo haya yanatuua kweli kweli
 
sana kaka,hiyo pay ya nyama bora ninunue matunda nile,na operation ya pili itakuwa ya kupiga marufuku utumiaji hovyo wa mafuta nyumbani kwangu,nayo haya yanatuua kweli kweli
Na ni vema manunuzi ya vyakula ufanye mwenyewe kuliko kumuamini ndugu ama mtumishi wa ndani
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni

1.hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe
kuna hiki kitabu kinaeleza jamaa aliyeamua kwenda kwa ma budha watu ambao walimfundisha how to be happy hata bila kuwa na pesa,watu wasio zeeka,watu walio na afya njema,moja ya kitu alichojifunza toka kwao ni kwamba wanakula sana matunda na mboga mboga
 

Attachments

kuna hiki kitabu kinaeleza jamaa aliyeamua kwenda kwa ma budha watu ambao walimfundisha how to be happy hata bila kuwa na pesa,watu wasio zeeka,watu walio na afya njema,moja ya kitu alichojifunza toka kwao ni kwamba wanakula sana matunda na mboga mboga
shukrani ngoja Niki download
 
hii imani inaenda mbali zaidi kwakuwa hata dawa za kuulia wadudu wao hawatumii kabisa, na kama wakiitumi wanatumia ile tu ya kulewesha na si kuondoa uhai, kwa vegetarians kuuwa kiumbe ni dhambi kubwa kuliko zote na karma yake ni mbaya sana
Embu nisaidie hapa, mm ni mfugaji wa Kuku kuna huu utitiri dawa ya kuwafukuza huwa hakuna kuna ya kuua tu nifanyeje, niache wanisumbue tuuu
 
Botany ni somo ambalo hata mtoto wa primary atakwambia kuwa mimea inaishi na kuvuta hewa kama wanyama.
Pia ni wazi kwamba mlipaswa kumuuliza mshana jr maswali mengi kabla ya kumpinga kuwa hana elimu na mada yake.
Vegetarian wanasababu nyingi za kutokula nyama ingawa yeye kaeleza chache sana.
Pia yapo mambo mengi kuhusu wanyama.
Je unafahamu watu wameditation wanazungumzia nini kuhusu nyama na uti wa mgongo ?.
Tazama uti wa mgongo wa binadamu ni tofauti na uti wa mgongo wa mnyama,uliwahi kujiuliza ni kwanini ?
Tazama maisha ya viumbe wala nyama,kwanini wanaishi maisha mafupi wakti wala nyasi wanaishi maisha marefu ?
Madoctor wanasemaje kuhusu digestion ya nyama,mnafikiri inafanyika kirahisi hivi ?
mkuu inaionyesha unajua mengi hebu tupatie
 
Binafsi natarajia kuwa vegeterian kwa sababu za kiafya tuu ,yaani nahisi mwili wangu unatumia effort kubwa sana ku digest nyama mwilini mwangu yaani kwa sababu hizo tuu yawezekana ikawa ni sababu ya mtu kuzeeka mapema,pia nyama zinazouzwa sasa hivi mabuchani huwa nahisi kama sio salama kabisa,kwanza treatment yake mpaka mnyama anchinjwa huwa siiamini.Wapo wafanya biashara ambao wako kibiashara zaid kuliko kujali afya ya mlaji,pia mboga,mizizi na matunda ndio chanzo cha tiba zote salama kwa mwanadamu.Hizo sababu zingine sizipi mantiki sana
Sijafanya research ya kutosha ila kuna uhusiano mkubwa wa kuzeeka mapema au kuonekana mzee kutokana na ulaji wa nyama,mimi nina miaka takriban 10 tokea niache kula nyama nyekundu kwa sababu za kiafya,yaani nilikuwa nikila nyama digestion inakuwa ya taratibu sana kwahiyo iliniletea shida kidogo.Kwa sasa kila ninaekutana naye ambaye ni wa umri wangu huniambia mbona huzeeki,na niliwahi kwenda hospitali moja ya wa korea nilipowatajia umri wangu hawakutaka kuamini kwani hata wao umri wao walionitajia walikuwa ni wadogo kwangu lakini bado walionekana wakubwa kwangu..
 
Sijafanya research ya kutosha ila kuna uhusiano mkubwa wa kuzeeka mapema au kuonekana mzee kutokana na ulaji wa nyama,mimi nina miaka takriban 10 tokea niache kula nyama nyekundu kwa sababu za kiafya,yaani nilikuwa nikila nyama digestion inakuwa ya taratibu sana kwahiyo iliniletea shida kidogo.Kwa sasa kila ninaekutana naye ambaye ni wa umri wangu huniambia mbona huzeeki,na niliwahi kwenda hospitali moja ya wa korea nilipowatajia umri wangu hawakutaka kuamini kwani hata wao umri wao walionitajia walikuwa ni wadogo kwangu lakini bado walionekana wakubwa kwangu..
Digestion ya nyama inatumia nguvu sana basi tuu ila inachakaza sana mwili
 
Sijafanya research ya kutosha ila kuna uhusiano mkubwa wa kuzeeka mapema au kuonekana mzee kutokana na ulaji wa nyama,mimi nina miaka takriban 10 tokea niache kula nyama nyekundu kwa sababu za kiafya,yaani nilikuwa nikila nyama digestion inakuwa ya taratibu sana kwahiyo iliniletea shida kidogo.Kwa sasa kila ninaekutana naye ambaye ni wa umri wangu huniambia mbona huzeeki,na niliwahi kwenda hospitali moja ya wa korea nilipowatajia umri wangu hawakutaka kuamini kwani hata wao umri wao walionitajia walikuwa ni wadogo kwangu lakini bado walionekana wakubwa kwangu..
Hili lingekuwa na ukweli basi wamasai, wagogo na wasukuma wangekuwa wanazeeka haraka sana kwasababu hayo makabila hasa wale wanaoishi vijijini haipiti siku bila kula nyama. Tena siyo nyama ya kupima bali nyama haswaa (nyingi). Hivyo basi wangekuwa wanazeeka kwa haraka kuliko makabila yasiyofuga wala kutumia nyama kwa wingi kama makabila ya pwani, tanga mtwara na lindi.
Tukumbuke nyama ni chanzo kizuri sana cha protini ila protini ikizidi mwilini inaleta madhara kama ilivyo kwa vyakula vya wanga (carbs)
 
Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.

Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.


Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.


Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.

Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.


Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.


Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
Kumbuka kuwa hata hiyo mimea ni viumbe hai,hivyo kwa imani zao bado hawajaepuka kutoa uhai wa viumbe.WANAUA MIMEA
 
Hili lingekuwa na ukweli basi wamasai, wagogo na wasukuma wangekuwa wanazeeka haraka sana kwasababu hayo makabila hasa wale wanaoishi vijijini haipiti siku bila kula nyama. Tena siyo nyama ya kupima bali nyama haswaa (nyingi). Hivyo basi wangekuwa wanazeeka kwa haraka kuliko makabila yasiyofuga wala kutumia nyama kwa wingi kama makabila ya pwani, tanga mtwara na lindi.
Tukumbuke nyama ni chanzo kizuri sana cha protini ila protini ikizidi mwilini inaleta madhara kama ilivyo kwa vyakula vya wanga (carbs)
Kuna ukweli aisee
 
mshana jr na Apollo ,,

Je mmewahi kukata miti, kuchuma mboga za majani kutoka kondeni au kukata mkungu wa ndizi kwa ajili ya chakula halafu kesho yake mkarudi kuangalia hiyo mimea inavyotia huruma!?

Ukisema kuwa mimea ni viumbe hai lakini mateso na hisia zao siyo Sawa na za wanyama unakuwa unatumia na kuegemea upande mmoja tu ule wa mnyama kulia, kushindwa kutembea, kutokwa damu na labda kufa.

Ila hata mimea ina hisia zile zile tatizo tu haitoi sauti za kulalamika kama wanyama wachinjwapo.

Hizi imani ni uchwara tu.​
 
Kumbuka kuwa hata hiyo mimea ni viumbe hai,hivyo kwa imani zao bado hawajaepuka kutoa uhai wa viumbe.WANAUA MIMEA

kasso ,

Hizi imani hizi watu watapotea wengi sana.

Miti inateseka sana , mbogamboga na nyasa za kulishia mifugo majumbabi (zero grazing).


Any way , naomba tu kila mtu aamini na aelewe aachoona kinafaa.

Ila kwa kweli kabisa the ecosystem its not fair. Mfano, tembo anavyokula miti, na nyasi hadi unazihurumia nyasi na miti anavyokata na kula.
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni

1.hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe
Krishna sio dini. Ni miongoni mwa miungu ya kihindu..!
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni

1.hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe
Mshana hapo utakua umechemka Broo.
Ningependa ukubali kukosolewa bro..
Usimaind kama mzee wetu.

Naanza kwa kutoa maana halisi ya vegetarians.

Hawa VEGITERIANS ni watu katika imani zao wakiamini kua mnyama ni MUNGU wao..
Mnyama tu...sio JAMII YA NDEGE..kwa mfano Ngo'imbe huyo ℅100 wanamuabudu na maziwa hua wanajimwagia mwilini huku wakinywa ktk ibada zao,,Kondoo wanamlea nakumuangukia miguuni na hua wanawanyoa manyoa yao na kuitundika wanapofanyia ibada yao
Mbuzi hua wakiwavisha vikengele shingoni wakiamini kua vikengele vikilia saana ni ishara mbaya..
Nifupishe tu Bro Mshana Hawa hua wanakula white meats only.kuku.Samaki.bata..Sea Foods zote wanakula.
Na %98 ya vegetarians ni BANIANI..
BANIANI maana yake ni watu wa bara la Asia INDIANS(Wahindi)ndio wenye hio dini wanaiita BANIANI..wazungu wanaita HINDUS..
lkn Buddhist wanafyonza nyama hadi mifupa..
 
Back
Top Bottom