Rejea maneno niliyoweka "bold"....
Ukilinganisha na idadi ya "Buddhists", "Monks" ni wachache sana na wanakula nyama ya "kitimoto" n.k bila tatizo lolote. Wanafundishwa wasiombe kupewa chakula kizuri wanachopenda wao wenyewe bali wapokee chochote wanachopewa!!
Asubuhi na mapema "Monks" huwa wanajipanga kwenye makazi ya watu na wanapewa chakula...na ninakuhakikishia wanakula nyama, tena sana!
Ukilinganisha na idadi ya "Buddhists", "Monks" ni wachache sana na wanakula nyama ya "kitimoto" n.k bila tatizo lolote. Wanafundishwa wasiombe kupewa chakula kizuri wanachopenda wao wenyewe bali wapokee chochote wanachopewa!!
Asubuhi na mapema "Monks" huwa wanajipanga kwenye makazi ya watu na wanapewa chakula...na ninakuhakikishia wanakula nyama, tena sana!
Buddhist haifungi mtu suala la ulazima wa kula nyama. Ila kutokula nyama ni part ya Karma cleaning. Kuwa mfuatiliaji mzuri na msomaji mzuri. Other things Google can tell you. Buddha na monks wengi hawali nyama. Nyama tangu traditions inakuaminiwa ni karma mbaya na haikupi enlightment. Sio kila kitu Google. Nipe email kama unataka nikupe PDF ya Maisha na safari za Buddhists.