Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

quote_icon.png
By mngony
hivi hizo vegatables sio viumbe hai? si vina uhai? haya usile kwa sababu unaviua vinahitaji kuishi ni viumbe hai. sasa sijui utakula mawe!
mshana jr tedo Apollo Kichuri hatari



unaweza kutambua IQ ya mtu kwa maneno yake...!​


  • Ndugu yangu kipi hapo hujakubaliana nacho? mshana jr
 
Last edited by a moderator:
kiukweli napenda kubadili maisha yangu kwenye mcingi huu..

ctaki kula nyama, kunywa pombe, kuendekeza anasa tena....

napenda kufanya meditation ingawa inanipa wakati mgumu kiukweli nahitaji mwalimu anielekeze

katika hili...

note: mi naishi Lushoto-Tanga hivyo kuhudhuria temple huko Dar ni ngumu xo I need altenative...

Karibu sana mkuu. Kupitia meditation na kuishi maisha ya ukweli na yenye reality utaona life katika perspective nyingine kabisa. It will change your life completely. Pia waweza kuangalia YouTube na kusoma vitabu mbalimbali. Hivi vitu sio dini, anyone can do it to connect them self with their heart and mind.

Welcome.
 
Biology inazungumzia body (physical structure) as Physical Anthropology. Lakini haizungumzii intangible parts kama Souls, Spirit ambavyo ndivyo vitofautishavyo mmea na mwanadamu. Hivyo wote ni viumbe na vinatofautiana. Mfano mmea hauna soul, Biology haiwezi kuzungumzia hizo tofauti za intangible na ndio maana ikaitwa inabase na Physical Anthropology.

Tunazungumzia kula wanyama na si mwanadamu,sina uhakika kama wanyama wana roho
 
hivi Mungu alimshushia nani vile yule kondoo!yule mtume alieamrishwa kumchinja mwanae!
hapa naona watu wanabishana na maandiko ya Mungu.
 
hivi Mungu alimshushia nani vile yule kondoo!yule mtume alieamrishwa kumchinja mwanae!
hapa naona watu wanabishana na maandiko ya Mungu.

hatubishani badi tunapeana ujuzi na maarifa ya imani za wengine, ni vema kujifunza na kufahamu mambo mengi kadiri ufahamu wako utakavyopenda
 
Tunazungumzia kula wanyama na si mwanadamu,sina uhakika kama wanyama wana roho

Kwangu mimi hata mwanadamu ni mnyama. Tofauti ni divinity aliyoumbwa nayo na ufahamu.

Sijui ni jinsi gani nikuelezee kwa sababu mimea na wanyama katika suala la kupata chakula ni tofauti. Kutokana na nature mimea hujitengenezea chakula, na viumbe vinavyobakia hutegemea mimea either directly (mfano swala, mbuzi n.k) au indirectly (simba, na wanyama wala wanyama wanaokula majani) na wengine hutegemea both chains kama sisi wanadami, nguruwe n.k.
 
hv vegetarian wanaruhusiwa kula samaki ?

Karibu sana mkuu. Kupitia meditation na kuishi maisha ya ukweli na yenye reality utaona life katika perspective nyingine kabisa. It will change your life completely. Pia waweza kuangalia YouTube na kusoma vitabu mbalimbali. Hivi vitu sio dini, anyone can do it to connect them self with their heart and mind.

Welcome.
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni

1.hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe

nikiamua kuwa vegetarian nitafanya hivyo kwa sababu za kiafya na sio imani yaani nyoka anakuja nyumbani kwangu nisimuue kwa sababu ni kiumbe anastahili kuishi? hizi imani ngumu sana.
 
Meditation ni dini niliwahi jiunga na watu wa lifewave society au the path tulikuwa tukikatazwa kwenda kanisani au msikitini
 
nikiamua kuwa vegetarian nitafanya hivyo kwa sababu za kiafya na sio imani yaani nyoka anakuja nyumbani kwangu nisimuue kwa sababu ni kiumbe anastahili kuishi? hizi imani ngumu sana.

Hahahaha. I love this. Hapana, suala ni kuua kwa ajili ya chakula, au kuexploit mnyama mfano kuua kwa ajili ya pembe, ngozi au meno ya biashara. Kujiami ni case nyingine.
 
Hahahaha. I love this. Hapana, suala ni kuua kwa ajili ya chakula, au kuexploit mnyama mfano kuua kwa ajili ya pembe, ngozi au meno ya biashara. Kujiami ni case nyingine.

wengine wanakula nyoka mkuu ndo maana nikasema hizi imani ngumu sana!
 
Vipi ulijifunza pia Kungfu?

na Tai Chi Pia, Kung Fu kama Tai Chi ni michezo inayohitaji vital energy na concentration ya hali ya juu, ni sehemu ya meditation pia kama nyongeza kwa wale wanaopenda
 
Back
Top Bottom