Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.

Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.


Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.


Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
Wewe usiige tu..wahenga walishasema ukijichamba saana mwishoe utakamata NNYAAAA,,
ati kwanini tuwapige au kua wanyama..
Sasa simba anavomvizia nyumbu na akamla nae anadhambi???
Sikia wewe MWENYEZI MUNGU MUUMBA AMEUMBA KILA KITU BINAADAMU WANYAMA NA VIUMBE HAI WOOTE NA KILA ALIEMUUMBA KAMPAGIA RIZIKI YAKE..
UKIAMINI HIVYO BASI..SIMBA CHUI FISI WASINGEKULA NYAMA.
TUANZIE KWAKO KWANZA WE ULIPOZALIWA KABLA YAKUITA MAMA ULIITA NYAMAAAA,,,LEO UMEBALEGHE USHAJIONA MJAAANJA WA KUTOFAUTISHA MAMBO..
SASA JIULIZE HAYO MENO YA MWISHO(MAGEGO)ULIWEKEWA KWA AJILI YAKUTAFUNA MIWA AU??
 
Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.

Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.


Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.


Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
Hello nice, Viumbe wote wanaokula majani Herbivorous kuanzia wanadamu na hata wanyama nafsi zao zina nguvu kubwa ya hisia ya rehema yaani they are good sensor of mercy to other creatures kuliko wale wanaokula nyama Carnivorous ambao nafsi zao ni tofauti kwani nafsi zao hazina nguvu ya rehema na haziogopi kurarua rejea wanyama kama simba,chui, fisi nk na hata jamii za wafugaji wanaokula nyama kwa wingi mfano wamaasai, wakurya, wameru,, wasukuma nk ni nadra sana kurehemu na hata nafsi zao kurarua viumbe wengine hata binadamu wenzao sio shida.
 
Mimea pia ina uhai,jaribuni kutafuta elimu msome,mmea wowote unaouona una uhai,kwa hiyo unapokula zao linalotokana na huo mmea,umekula kitu kinachotokana na kitu kilichokuwa hai
Kwa maana hiyo tusinywe hata maziwa...?
 
ni vizuri sana unapata piece of mind na unakuwa si mtu wa kukurupuka kwenye lolote na hata magonjwa yanakaa mbali nawe
Hahahah BROO KIUKWELI HAKUNA BINAADAMU ASIEPENDA NYAMA,
HAPO TUTADANGANYANA HAWA WANAEJITOA FAHAMU HUMU SIKU WAKIWA MAHARUSINI AU VILIONI WAKIKUTANA NA UBWABWA NA BINZ TU BILA NYAMA WANASEMA HAASA
KWELI KUNA NYAMA ZENYE MARADHI KWA MFANO UNAKULA MAKUKU YA KIZUNGU(BROILERS) YASIOONGEA HATA ENGLISH LADHA UTAIPATA WAPI..KIDALI KAMA SHINGO YA MBUNI ..
KWA DAR MAISHA YA DAR KUKU IKICHINJWA HATA NYONGO HAITUPWI...CKU MBUZI IKICHINJWA MWEWE WOOTE WANAHAMIA HAPO..
SASA LAZMA WATOE KASORO ..
WALIOTENGENEZA TOOTHPICK MUNGU ANAWAONA BANA
SIKU HIZI HATA MTU AKILA BINZ TU ATASHINDA NA KIJITI MDOMONI SIKU NZIMA,
 
Mi nadhani kula au kutokula ni uamuzi wa mtu,mi nakumbuka hata babu yangu alikuwa hali mboga za majani akisema haezi kula majani kama mbuzi!
 
Mimi sipendi kula nyama Lkn nakula kama hakuna mbadala na wala sina shida nayo Lkn kipaumbele changu sababu siipendi ladha ya nyama ilinikinai nilikula sana nikiwa Mdogo ikanikinai
 
Hivi mimea nayo si viumbe hai na kwa hiyo na yenyewe in karma? Vipi chui akila swala naye next reincarnation atakuwa swala ili aliwe na chui?
 
mi nimesoma kidogo imani za kibuda na hata zile five prisets(sheria)/misingi yao,nilichokiamini na kikuibwa mno ni kwamba mtu asiekula kitu chenye roho mara nyingi huwa na huruma sana, na hata hawa jamaa wana msingi mzuri sana ktk dini yao, huu uislam na ukristu mbwembwe nyingi mno
Wana huruma gani wakati wanawaua binadamu wenzao kule kisa Waislam.
 
Hili lingekuwa na ukweli basi wamasai, wagogo na wasukuma wangekuwa wanazeeka haraka sana kwasababu hayo makabila hasa wale wanaoishi vijijini haipiti siku bila kula nyama. Tena siyo nyama ya kupima bali nyama haswaa (nyingi). Hivyo basi wangekuwa wanazeeka kwa haraka kuliko makabila yasiyofuga wala kutumia nyama kwa wingi kama makabila ya pwani, tanga mtwara na lindi.
Tukumbuke nyama ni chanzo kizuri sana cha protini ila protini ikizidi mwilini inaleta madhara kama ilivyo kwa vyakula vya wanga (carbs)
Hapana ulaji wao unatofautiana sana na wa kwetu, kwanza mifugo yao inakula natural veg halafu hawakalangizi kama sisi, kisha wao nyama yao huchoma na kuchemsha wakichanganya na mizizi na hutibu mifugo yao kwa natural herbs
 
Kumbuka kuwa hata hiyo mimea ni viumbe hai,hivyo kwa imani zao bado hawajaepuka kutoa uhai wa viumbe.WANAUA MIMEA
Mmh mmea sio kiumbe... Kiumbe no kitu chenye roho
 
mshana jr na Apollo ,,

Je mmewahi kukata miti, kuchuma mboga za majani kutoka kondeni au kukata mkungu wa ndizi kwa ajili ya chakula halafu kesho yake mkarudi kuangalia hiyo mimea inavyotia huruma!?

Ukisema kuwa mimea ni viumbe hai lakini mateso na hisia zao siyo Sawa na za wanyama unakuwa unatumia na kuegemea upande mmoja tu ule wa mnyama kulia, kushindwa kutembea, kutokwa damu na labda kufa.

Ila hata mimea ina hisia zile zile tatizo tu haitoi sauti za kulalamika kama wanyama wachinjwapo.

Hizi imani ni uchwara tu.​
Ulikuwa na point nzuri sana as a GT ukaja kuharibu mwishoni as if kapost layman
 
Vipi wadudu waharibifu kama mende,inzi,viwavijeshi pia hamuwaui kwa sababu nyie vegetarian????
 
Kaka mshana huwa ninakuamini kuwa upo vizuri ila hapa UMEFELI .Kusema mimea sio viumbe! wakati mimea inaishi na pia inakufa,hivyo basi mimea ni kiumbe na pia inauhai
Je mimea ina roho? Kwanini basi tuseme viumbe hai na mimea?.. Inawezekana kabisa tunapishana kwenye tafsiri
 
Hivi mimea nayo si viumbe hai na kwa hiyo na yenyewe in karma? Vipi chui akila swala naye next reincarnation atakuwa swala ili aliwe na chui?
Ndio maana akaitwa chui anaishi kwenye karma yake
 
Ni kweli kabisa Gautama alikulia katika familia tajiri sana yenye kila kitu asijue chembe ya maumivu ya binadamu ndio katika safari yake ya kusaka maumivu ya binadamu/ seaching for inner self, human suffering, chanzo chake suluhisho lake/cause n effect na jinsi ya kujikomboa kutoka minyororo ya ego craving nk hata kupata mwanga na furaha ya kweli/supreme happiness na mwishowe enlinghtment/kuangaziwa, ndipo akaacha yote kwa kuyaona si kitu bali vyote vimejaa tamaa na uharibifu wa mwili na roho.
Mshana hata hapa kwenye Inner self tunaomba ufafanuzi zaidi, na hili somo lingine la who am I? .kama utaweza pata nafasi ya kulifafanua zaidi, au kuliandalia somo kabisa
Asante
 
Back
Top Bottom