Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,602
- 830,344
- Thread starter
- #141
Ni kweli kabisa Gautama alikulia katika familia tajiri sana yenye kila kitu asijue chembe ya maumivu ya binadamu ndio katika safari yake ya kusaka maumivu ya binadamu/ seaching for inner self, human suffering, chanzo chake suluhisho lake/cause n effect na jinsi ya kujikomboa kutoka minyororo ya ego craving nk hata kupata mwanga na furaha ya kweli/supreme happiness na mwishowe enlinghtment/kuangaziwa, ndipo akaacha yote kwa kuyaona si kitu bali vyote vimejaa tamaa na uharibifu wa mwili na roho.