Hata mimea Ina haki ya kuishi kwani ndio inayotupatia hewa ya oxygen, wasile kitu chochote wanywe maji tu.
Dear vegetarians if you real like/love us,why are you eating our food?
kiukweli napenda kubadili maisha yangu kwenye mcingi huu..
ctaki kula nyama, kunywa pombe, kuendekeza anasa tena....
napenda kufanya meditation ingawa inanipa wakati mgumu kiukweli nahitaji mwalimu anielekeze
katika hili...
note: mi naishi Lushoto-Tanga hivyo kuhudhuria temple huko Dar ni ngumu xo I need altenative...
Wewe unakula nyama au hauli?
ni mimea sio viumbe uhai wao na wetu una tofauti kubwa sana..!
Mafundisho mengi ya Buddha Yana quotes nyingi za Bible na wanamtaja Yesu kristo kama enlighten being
Huli nyama we nyumbu?Apollo nimeukubali mno uchambuzi wako umegusa maeneo mengi ambayo sikuyagusia suala na ENLIGHTMENT na EGOISM, ni mambo muhimu mno ambayo wengi hatuyajui lakini vile vile kuna CRAVING ambayo haiachani sana na EGOISM, vyote vinahusika na tamaa na uchoyo uliopitiliza
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.
Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni
1.hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa
2. Hakuchinjwa kwa ajili yao
3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe
Mkuu nijuavyo mie ni kuwa hata mimea ina uhai kamanda, sababu hapa yaweza kuwa ni ya kisayansi zaidi au vinginevyo. Biblia mahali fulani inasema " msile nyama yenye damu maana katika damu kuna uhai" maana yake muoshe na mchome au mpike damu iteketee kwanza ndipo mle. Sibishi ila nataka nijue ukweli usio na mashaka.
Apollo nimeitafuta sana hii post, kuna mengi Nimejifunza toka kwako
Mafundisho mengi ya Buddha Yana quotes nyingi za Bible na wanamtaja Yesu kristo kama enlighten being
Ninahakika hao elimu zimewapitia pembeni,hawafahamu kama mimea pia ina uhai,ni 'living things' kama kiumbe kingine chochote.Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.
Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni
1.hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa
2. Hakuchinjwa kwa ajili yao
3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe
Mimea pia ina uhai,jaribuni kutafuta elimu msome,mmea wowote unaouona una uhai,kwa hiyo unapokula zao linalotokana na huo mmea,umekula kitu kinachotokana na kitu kilichokuwa haimi nimesoma kidogo imani za kibuda na hata zile five prisets(sheria)/misingi yao,nilichokiamini na kikuibwa mno ni kwamba mtu asiekula kitu chenye roho mara nyingi huwa na huruma sana, na hata hawa jamaa wana msingi mzuri sana ktk dini yao, huu uislam na ukristu mbwembwe nyingi mno
Ni kukosa elimu,anakataa kula chenye uhai kimoja,kingine anakula,kutokuwa na elimu ni tatizo.Hata mimea Ina haki ya kuishi kwani ndio inayotupatia hewa ya oxygen, wasile kitu chochote wanywe maji tu.