Sababu za mimi kufurahi Diamond kukosa tuzo....

Sababu za mimi kufurahi Diamond kukosa tuzo....

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,830
Reaction score
12,314
1. Kwanza hakuna cha uzalendo wala nini, Diamond anafanya hayo kwa faida yake mwenyewe, genge lake na wanawake wake.
Vinginevyo angekabidhiwa bendera ya taifa.
2. Diamond angeshinda, angekua expensive zaid na nyodo za kutufungia vioo.
Genge lake lingezunguka nae nchi nzima kupiga hela. Hiyo tuzo na yeye mwenyewe asingeenda uwanja wa taifa au nchi nzima na mashabiki tukaione bure baada ya kumpa ushindi.
Sosi:- Kill music awards.
3. Diamond angeishia kitupnyesha majumba na magari ya kifahari kwenye instagram, badala ya mfano ka-ambulence bajaj ambako hata sisi walala hoi tungekatumia.
4. Angezidi kuwa muhuni na dharau kwa wanawake.
5.
6.
nk
 
mi mtu yeyote duniani akifanikiwa nafurahi. Hata kama si ndugu yangu na wala hanihusu.
 
Sijaelewa.....hayo yote yanagusa vipi maisha yako? Baada ya Diamond kukosa tuzo hyo ambulance ndo itajinunua?
 
akafie mbele huko na makahaba wake aliowabeba sa kiukweli huyu jamaa limbukeni sana yaani hadi unt ezekiel wa nini huko au wameenda kucheza porn?!
 
1. Kwanza hakuna cha uzalendo wala nini, Diamond anafanya hayo kwa faida yake mwenyewe, genge lake na wanawake wake.
Vinginevyo angekabidhiwa bendera ya taifa.
2. Diamond angeshinda, angekua expensive zaid na nyodo za kutufungia vioo.
Genge lake lingezunguka nae nchi nzima kupiga hela. Hiyo tuzo na yeye mwenyewe asingeenda uwanja wa taifa au nchi nzima na mashabiki tukaione bure baada ya kumpa ushindi.
Sosi:- Kill music awards.
3. Diamond angeishia kitupnyesha majumba na magari ya kifahari kwenye instagram, badala ya mfano ka-ambulence bajaj ambako hata sisi walala hoi tungekatumia.
4. Angezidi kuwa muhuni na dharau kwa wanawake.
5.
6.
nk

Pamoja na kwamba una dalili zote za wivu wa kijinga, nakupongeza kwa kuyatoa ya moyoni bila unafiki.
 
hahaha KakaJambazi nakuunga mkono me mwenyewe simkubali mtuhuyu:thumbdown::thumbdown:
 
Last edited by a moderator:
Kuna vichembe chembe vya kufahamiana kati ya Kaka Jambazi na domo au mtu wa jambazi wa karibu
Huu wivu si wa kitoto hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Sijaelewa.....hayo yote yanagusa vipi maisha yako? Baada ya Diamond kukosa tuzo hyo ambulance ndo itajinunua?

Hujaelewa sababu ya complimentary unazopewa siku ya show zake.
 
1. Kwanza hakuna cha uzalendo wala nini, Diamond anafanya hayo kwa faida yake mwenyewe, genge lake na wanawake wake.
Vinginevyo angekabidhiwa bendera ya taifa.
2. Diamond angeshinda, angekua expensive zaid na nyodo za kutufungia vioo.
Genge lake lingezunguka nae nchi nzima kupiga hela. Hiyo tuzo na yeye mwenyewe asingeenda uwanja wa taifa au nchi nzima na mashabiki tukaione bure baada ya kumpa ushindi.
Sosi:- Kill music awards.
3. Diamond angeishia kitupnyesha majumba na magari ya kifahari kwenye instagram, badala ya mfano ka-ambulence bajaj ambako hata sisi walala hoi tungekatumia.
4. Angezidi kuwa muhuni na dharau kwa wanawake.
5.
6.
nk

Wivu wa kimama sana huu,by the way hauna impact kwa Nasibu hata hivyo jali maisha yko hawa wengine achana nao uta umiza kichwa bure.
 
Back
Top Bottom