Blvck Inc
Member
- May 16, 2019
- 77
- 118
Ghana mtaa au Nchi?Mimi nipo Ghana huku watu wanalia sana mkuu
Ghana mtaa au Nchi?Mimi nipo Ghana huku watu wanalia sana mkuu
Mmmm. Labda huku Ukonga Midizini pamegeuka Ulaya na siyo Afrika. Maana hamna anayemlilia, zaidi wengi furaha zao zimeongezeka.Acha unafiki, Afrika nzima inamlilia Magufuli saivi. Mwaache yetu amalizie kazi ya Musa. Mimi naamini Magufuli ni Musa, mama Samia ndio Yoshua.
Naona mumeanza kumpangia na kumfundisha kazi yakeKwanza atowe vikaragosi vyote vya Magu hayo mengine atuachie sisi
Mpaka kuzoea itakuchukua muda mrefu lakini ukweli ndio huo, musa alimkosea Mungu ndio maana hakuikanyaga nchi ya ahadi. Tufikishe mama tupo pamoja.Acha unafiki, Afrika nzima inamlilia Magufuli saivi. Mwaache yetu amalizie kazi ya Musa. Mimi naamini Magufuli ni Musa, mama Samia ndio Yoshua.
Huyo Mama makandokando yake tunayo msitake tuanze mashambulizi wakati wa msiba.SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio ameamua kumuita Magufuli na in his stead akamsimika Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza Taifa hili la Tanzania.
URAIS WA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN IS A PURELY ACT OF GOD. ( VIS MAJOR ) Hajachaguliwa na mtu wala timu wala hajaiba kura wala hajafanya chochote isipokuwa Mungu mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe ( ambazo obviously lazima ziwe sababu sahihi na bora to the interest of all the people of Tanzania bila kujali dini zao vyamavyao makabila yao au rangi zao ) ameamua kumchagua Mama Samia Suluhu Hassan.
Hakika tangu tupate uhuru Mama Samia ndio Rais wa kwanza ambae amechaguliwa kuongoza taifa hili na Mungu mwenyewe moja kwa moja. Nyerere aliteuliwa na chama chake,Mzee Mwinyi aliteuliwa na chama chake, Mzee Mkapaalichaguliwa kwa kupigiwa kura na watanzania kama ilivyo kuwa kwa Kikwtete na Magufuli lakini Mama Samia amechaguliwa na Mungu mwenyewe kwa hiyo Watanzania tutarajie neema kubwa sana chini ya uongozi wa mama Samia kwa sababu Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kwa moja na kazi ya Mungu haina makosa.
Kwa wale watanzania ambao walipo teza haki zao katika kipindi cha miaka mitano nawaambia FURAHINI KATIKA BWANA NASEMA TENA FURAHINI SANA ( WAFILIPI 4: 4-7 ) kwa sababu HII NI SIKU AMBAYO BWANA AMEIFANYA ( ZABURI 118: 24 ) Mungu anakwenda kuirudisha miaka hiyo mitano ambayo imeliwa na nzige ( YOELI 2:25-27)
kwa wasio amini katika Mungu kama Kiranga bila shaka mnaamini katika "nature" sasa itoshe kusema kwamba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAS BEEN NATURALLY SELECTED TO BE THE PRESIDENT OF THIS BELOVED NATION BY MOTHER NATURE HERSELF. Nature ndio imeamua Magufuli arejee katika kwayo na nafasi yake iwe replaced by Mama Samia SULUHU HASSAN.
SABABU NAMBA MBILI : IN THE REALM OF THE SPIRIT " WOMEN ARE A PORTAL WHICH CONNECT THE HEAVEN TO THE EARTH ". Katika ulimwengu wa rohoni MWANAMKE NI LANGO LINALO TUMIKA KUUNGANISHA KATI YA MBINGU NA DUNIA. Mfano wake ni huu wewe binadamu roho yako imetoka kwa Mungu mbinguni, ili uje hapa duniani lazima upitie kwenye tumbo la mwanamke.
Hapo mwanamke ametumika kama lango.
Hata wakristo wanao amini katika Uungu wa Kristo wanajua kwamba KRISTO ( AMBAE NI NAFSI YA PILI YA MUNGU ILIYO ISHI MBINGUNI ) alikuja duniani kupitia mwanamke.( MAMA MARIA ) Mama MARIA alitumika kama lango la kuinganisha mbingu (KRISTO ) na dunia.
Mungu akitaKA kuleta mbingu duniani hufanya hivyo kupitia mwanamke. Believe my words Mungu anaenda kuileta MBINGU (NEEMA) nchini Tanzania kupitia MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU MWENYEWE ANAENDA KULIONGOZA TAIFA LA TANZANIA KUPITIA MAMA SAMIA. MAMA SAMIA AMETUMIKA KAMA LANGO AMBALO MUNGU MWENYEWE ANALITUMIA KUDHIHIRISHA MAPENZI NA MIPANGO YAKE JUU YA TAIFA LA TANZANIA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMBAE WEWE MWENYEWE UME MCHAGUA KULIONGOZA TAIFA LAKO HILI LILILO BARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE DUNIANI
😂 😂 😂Mbona kwenye karatasi ya kura mwaka jana nilimuona.
Mama Samia Hajachaguliwa na Mungu ni Takwa la Katiba...isome katiba inasemaje kuhusu Rais aliye madarakani akifa nani anashika uongozi wa nchi na kwa namna gani....SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio ameamua kumuita Magufuli na in his stead akamsimika Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza Taifa hili la Tanzania.
URAIS WA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN IS A PURELY ACT OF GOD. ( VIS MAJOR ) Hajachaguliwa na mtu wala timu wala hajaiba kura wala hajafanya chochote isipokuwa Mungu mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe ( ambazo obviously lazima ziwe sababu sahihi na bora to the interest of all the people of Tanzania bila kujali dini zao vyamavyao makabila yao au rangi zao ) ameamua kumchagua Mama Samia Suluhu Hassan.
Hakika tangu tupate uhuru Mama Samia ndio Rais wa kwanza ambae amechaguliwa kuongoza taifa hili na Mungu mwenyewe moja kwa moja. Nyerere aliteuliwa na chama chake,Mzee Mwinyi aliteuliwa na chama chake, Mzee Mkapaalichaguliwa kwa kupigiwa kura na watanzania kama ilivyo kuwa kwa Kikwtete na Magufuli lakini Mama Samia amechaguliwa na Mungu mwenyewe kwa hiyo Watanzania tutarajie neema kubwa sana chini ya uongozi wa mama Samia kwa sababu Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kwa moja na kazi ya Mungu haina makosa.
Kwa wale watanzania ambao walipo teza haki zao katika kipindi cha miaka mitano nawaambia FURAHINI KATIKA BWANA NASEMA TENA FURAHINI SANA ( WAFILIPI 4: 4-7 ) kwa sababu HII NI SIKU AMBAYO BWANA AMEIFANYA ( ZABURI 118: 24 ) Mungu anakwenda kuirudisha miaka hiyo mitano ambayo imeliwa na nzige ( YOELI 2:25-27)
kwa wasio amini katika Mungu kama Kiranga bila shaka mnaamini katika "nature" sasa itoshe kusema kwamba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAS BEEN NATURALLY SELECTED TO BE THE PRESIDENT OF THIS BELOVED NATION BY MOTHER NATURE HERSELF. Nature ndio imeamua Magufuli arejee katika kwayo na nafasi yake iwe replaced by Mama Samia SULUHU HASSAN.
SABABU NAMBA MBILI : IN THE REALM OF THE SPIRIT " WOMEN ARE A PORTAL WHICH CONNECT THE HEAVEN TO THE EARTH ". Katika ulimwengu wa rohoni MWANAMKE NI LANGO LINALO TUMIKA KUUNGANISHA KATI YA MBINGU NA DUNIA. Mfano wake ni huu wewe binadamu roho yako imetoka kwa Mungu mbinguni, ili uje hapa duniani lazima upitie kwenye tumbo la mwanamke.
Hapo mwanamke ametumika kama lango.
Hata wakristo wanao amini katika Uungu wa Kristo wanajua kwamba KRISTO ( AMBAE NI NAFSI YA PILI YA MUNGU ILIYO ISHI MBINGUNI ) alikuja duniani kupitia mwanamke.( MAMA MARIA ) Mama MARIA alitumika kama lango la kuinganisha mbingu (KRISTO ) na dunia.
Mungu akitaKA kuleta mbingu duniani hufanya hivyo kupitia mwanamke. Believe my words Mungu anaenda kuileta MBINGU (NEEMA) nchini Tanzania kupitia MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU MWENYEWE ANAENDA KULIONGOZA TAIFA LA TANZANIA KUPITIA MAMA SAMIA. MAMA SAMIA AMETUMIKA KAMA LANGO AMBALO MUNGU MWENYEWE ANALITUMIA KUDHIHIRISHA MAPENZI NA MIPANGO YAKE JUU YA TAIFA LA TANZANIA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMBAE WEWE MWENYEWE UME MCHAGUA KULIONGOZA TAIFA LAKO HILI LILILO BARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE DUNIANI
Mkuu,S
Si kweli.
Amepigiwa Kura, nae Kampeni akapiga mara zote mbili 2015 na juzi 2020.
Au yu-mwingine si yule wa kwenye Karatasi ya Kura?