Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,841
Habari Ndugu zangu? Naitwa Lugete Mussa Lugete mchambuzi wa siasa za Kimataifa, Mwanahistoria na Mwanamajumui wa Afrika.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza wasomaji wangu wote kwa sababu Barua yangu kwa Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu Balozi mteule wa Rwanda nchini Tanzania Generali Patrick Nyamvumba imefika ikulu na kazi yangu imeishia hapa.
Hii Makala ilisambaa kwa Kasi sana mpaka nikawa naogopa, nimepokea pongezi nyingi na hakuna aliyenitukana wala kunibeza. Alhamdulillah Mungu ni mwema.
Nimefarijika na kujiona naweza kufanya jambo muhimu kwa maslahi mapana ya taifa langu. Wale maadui zangu nawashukuru kwa sababu mwaka huu ntasoma vitabu zaidi ya 120.
Mungu ni wetu sote. Mimi si lolote wala chochote bila wewe msomaji.
SIGNED BY LUGETE MUSSA LUGETE.
Mwanamajumui wa Afrika.
Pia soma:
Nachukua nafasi hii kuwapongeza wasomaji wangu wote kwa sababu Barua yangu kwa Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu Balozi mteule wa Rwanda nchini Tanzania Generali Patrick Nyamvumba imefika ikulu na kazi yangu imeishia hapa.
Hii Makala ilisambaa kwa Kasi sana mpaka nikawa naogopa, nimepokea pongezi nyingi na hakuna aliyenitukana wala kunibeza. Alhamdulillah Mungu ni mwema.
Nimefarijika na kujiona naweza kufanya jambo muhimu kwa maslahi mapana ya taifa langu. Wale maadui zangu nawashukuru kwa sababu mwaka huu ntasoma vitabu zaidi ya 120.
Mungu ni wetu sote. Mimi si lolote wala chochote bila wewe msomaji.
SIGNED BY LUGETE MUSSA LUGETE.
Mwanamajumui wa Afrika.
Pia soma: