Sababu, kwanini Acacia hawataki kulipa $300m

Sababu, kwanini Acacia hawataki kulipa $300m

Mkurugenzi Mtendaji wa Acacia Bw. Brad Gordon alisema tangu serikali ya Tanzania izuie kusafirisha makinikia nje ya nchi na kuyazuia makontena yake bandari ya DSM, kampuni yake imekuwa ikipata hasara ya dola za kimarekani 15m kila mwezi.

Makontena yamezuiliwa tangu mwezi wa tatu ni karibu miezi 8 sasa, kwa gharama hiyo Acacia wameshapata hasara ya takribani $120m.

Kwenye mazunguzo yaliyoisha juzi kati ya serikali na wawakilishi wa Acacia, Barrick wamekubaliana Acacia walipe $300m in good faith.

Je, kwenye makubaliano hayo wali consider hasara wanayopata Acacia hadi leo? au tuseme ndio sababu ya wao kugoma kulipa? na je, wakisema kwenye hiyo $300m watoe hasara ya $120m tupo tayari kuchukua $180m zilizobaki ili nasisi tuonyeshe uaminifu kwao au hatuwaamini tena, kama hatuwaamini kwanini tuendelee kufanya nao biashara.

Mawazo yako Tafadhali.
Hata taifa tajiri haliwezi kulipa hiyo pesa
 
Hiv mzungu akisema “good faith” huwa anamaanisha nn? Mimi wa dihimba ni ngumu kuelewa naomba ufafanuzi tafadhali.
 
Heading yenye uongo mtupu. Hakuna sehemu Acacia wamesema hawataki kulipa.

Chadema kwa huu uongo wenu 2020 mtawafanya wabunge wenu wengi sana wasirudi!
We unawaza siasa za uchaguzi na vyeo tu!!!
 
Wazungu wajanja sana. Kwenye makubaliano hayo wanajua watatokea wapi
 
Mkuu,
Mwenye huu uzi ameandika Acacia wamesema hawalipi na wewe umeniambia ushahidi upo DW.
Labda sasa hivi utakuwa umenielewa nilipotumia neno “nyie”.
Ghafla "nyie" imekuwa subject!
 
Sina haja ya kwenda kwenye website yao ni amini kilichoandikwa hapa ni ukweli au uongo.

Acacia walishatoa Statement kwa shareholders wake Friday na hizi kampuni wako makini ku avoid contradiction!

Wewe labda umekataa kuelewa walichoandika!
Mkuu, unasema huna haja ya kusoma walichoandika kwenye web yao, kisha unasema mimi ndiye niliyekataa kuelewa walichoandika??? does it make a single sense to you?
 
Mkuu, unasema huna haja ya kusoma walichoandika kwenye web yao, kisha unasema mimi ndiye niliyekataa kuelewa walichoandika??? does it make a single sense to you?
Hivi umesoma maandishi yangu yote?!
Acacia walishatoa statement kwa shareholders kupia LSE on Friday. Kwa hiyo hawawezi kuji contradict kwa kuandika tofauti kwenye website yao.
Na nina uhakika ni kwambia uweke link hapa kama wamesema hicho ulichoandika UTASHINDWA!!!
 
Back
Top Bottom