Huna ushahidi kwahiyo ukimchukulia hatua yoyote utakuwa unafanya kosa,ndio maana maswala ya mapenzi ni mabaya sana kujikita ukiwa na umri mdogo kwani kuna mambo mengi yanaweza kufanyika bila ya wewe kujua au kuwepo,hivyo kinachotakiwa nyakati nyingine unatakiwa uwe mpole tu...Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.
Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.
Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.
NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Amarula unakunywanga?Tajiri na Mimi nije..hua nakunywaga Zile wine za Lita tano
Chief,kama ulimkuta na simu ana haki ya kuongea na yoyote muda wowote or else mtafutie namba na simu ambayo itakuwa special kwa ajili ya mawasiliano baina yenu pekee.Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.
Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.
Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.
NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Unawakilisha wanaume ambao busara ya mahusiano imeapa kutoingia kwaoHabarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.
Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.
Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.
NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Sijawai kunywa mkuuAmarula unakunywanga?
Ungekua mwanangu, kwanza ningeanza na kukutia bakora na hiyo sim ningekunyang'anya kwa jinsi ulivyo mtoto mpumbavu na makelele ya visichana vyako kutwa nzima...![]()




Ana umri gani kwanza tuanzie hapoHabarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.
Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.
Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.
NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu