Saa 6 usiku inatumika

Saa 6 usiku inatumika

Amesha kwambia alikuwa anaongea na dada yake, amini hivyo na muendelee na maisha.
 
Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.

Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.

Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.

NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Huna ushahidi kwahiyo ukimchukulia hatua yoyote utakuwa unafanya kosa,ndio maana maswala ya mapenzi ni mabaya sana kujikita ukiwa na umri mdogo kwani kuna mambo mengi yanaweza kufanyika bila ya wewe kujua au kuwepo,hivyo kinachotakiwa nyakati nyingine unatakiwa uwe mpole tu...
 
Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.

Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.

Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.

NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Chief,kama ulimkuta na simu ana haki ya kuongea na yoyote muda wowote or else mtafutie namba na simu ambayo itakuwa special kwa ajili ya mawasiliano baina yenu pekee.
 
Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.

Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.

Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.

NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Unawakilisha wanaume ambao busara ya mahusiano imeapa kutoingia kwao
 
Anaweza badilisha jina la mshikaji akaandika 'dada' kisha akakutumia hayo mascreenshot unayotaka na usiambulie kitu....Jamaa, nenda kidimbwi kuna muhuni kakualika kale monde..Ya ngoswe muachie ngoswe.
 
Habarini wana nnzengo wa JF, natumai wote ni wazima.

Kuna jambo niwashirikishe labda mtanisaidia wakuu, haiwezekani unapiga simu ya mpenzi wako saa 6 usiku inatumika halafu akwambie alikuwa anaongea na dada yake. Sasa mimi nimekaza nimemwambia siwezi kumuelewa mpaka aniambie alikuwa anaongea na nani muda huo na screenshots zote nazitaka.

Yaani nahisi kudanganywa wazi wazi, halafu namwambia kajibu powa, sasa anijui vizuri huyu.

NB: Siyo mbaya naona malaika mtoa roho analimendea penzi langu
Ana umri gani kwanza tuanzie hapo
 
Dogo acha usenge..piga chini mapema hiyo nguruwe..hakuna mpenzi wako hapo ila.kuna demu wa masela...ukiendelea kukomaa nae atakudharirisha.
Mwisho na muhimu tafuta pesa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuchunguza Sana ni kujitakia kifo cha mapema kwanini usiamini tu ni dadake walikuwa wanaongea nae.ukianza kupata BP usije sema hatukukuambia.
 
Back
Top Bottom