Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 613
Na ni watamu pia. Kilichowaponza kumchagua JK asimamishe maendeleo ya nchi kwa miaka 10 ndicho kinawacost. Mtalikuta train la maendeleo limepack pale Kigoma wakati nyie mko mmelala dar
Na ni watamu pia. Kilichowaponza kumchagua JK asimamishe maendeleo ya nchi kwa miaka 10 ndicho kinawacost. Mtalikuta train la maendeleo limepack pale Kigoma wakati nyie mko mmelala dar
jamani nimeenda kwa rafiki yangu akanieleeza haya mambo nilichukua muda kukubali nikasema Mungu hivi Tanzania umeamua kuitenga kabis ajamani......kampuni ambayo aina hata miaka mitatu inaleta ndege mbili za B737/800 tena ndani ya miezi 2 august na sept uwiiii anyway embu fungua hii web sikuamini
rwandair.com | Ikaze Iwacu
Looking forward to taking delivery of two Boeing 737-800NG in Aug & Sep 2011.
[h=4]The Sky Interior cabin concept will be the first on the African continent...[/h][h=4]Delivery in 41 Days, 6Hrs, 39Mins, and 22secs...
[/h]
Huwezi kulinganisha ufisadi wa Kagame na wa Kikwete. At least Kagame anafanya mambo kwa wananchi yake yanayoonekana matunda yake./ Kikwete amebaki tu kumfanya Riz1 ajulikane kuwa young billionaire na mkiugua anawaleteeni ambulance za bajaj wakati mwenyewe ana ambulance ya kisasa katika msafara wa magari yake. Huwezi kuwalinganisha hawa wawili hata kidogo!Dhahab ailiyoporwa Congo imeingia humu janvini, watu wanampigia debe utafikiri wametumwa: BTW- huyu ni fisadi aliyekubuhu na familia yake yaishi maisha ya anasa wakati wananchi wako hohehahe.
watnzania wapewe chawa wajikune hawataki kujikomboa . (ufisadi tu)Tena ni mpya toka kiwandani siyo mitumba, tatizo la TZ hatuna uTanzania/uzalendo, hatujali maslahi ya taifa hili, unajua hata ungekuwa na mihela kiasi gani ya kupata kwa mikataba mibovu bado hujakwepa fedheha ya Tanzania kuwa ni nchi maskini ambayo kila kitu ni shida, umeme shida, maji shida, chakula shida. kwa sasa hivi Tanzania ni nchi pekee duniani labda ukiacha Sudani ya kusini ambayo haina ndege.
Sijui nchi yangu hii emelaaniwa namna gani, imelala usingizi wa pono, tunabakia kulalamika tu, tuna vitu vingi vya kujivunia ambavyo vingetumika na kutangazwa ipasavyo tungekuwa mbali. Kenya wanatuzidi kwa mbali sana kiuchumi, hawa watu hawana Gesi-sisi tunayo kwa wingi, hawana dhahabu-sisi tunayo kwa wingi, hawana almasi sisi tunayo, tumepakana na nchi nyingi ambazo zipo landlocked kuliko kenya, lakini Mombasa ndo ipo busy kwa mbali sana ukilinganisha na Bandari zetu zote kwa pamoja, yaani Dar, Tanga na Mtwara.
Kwenye utalii ndo usiseme tuna vivutio zaidi kuliko Kenya, lakini watalii wengi wanaokuja Tanzania, huwa wanakuwa kwanza wamepitia Kenya. Sababu ni nini?? kwenye utalii hatuna National carrier. Uwanja wa KIA upo very under utilized, kungekuwa na DIRECT flights za shirika letu la ndege angalau London-KIA, Dubai-KIA, Doha-KIA na kwineko ongezeeni, utalii ungeshamiri sana. haya maua yalimwe Arusha tena karibu na KIA lakini yanasafirishwa kupitia Nairobi.
Angalia magari yanayongia Tanzania kupitia Bandari ya Mombasa kwenye entry za Namanga na Holili, najiuliza viongozi wetu wanafikiri nini??? MUNGU tusaide
Atleast JK is not trying to slaughter anyody: 'Kayumba/prof mwaikusa! Et al.Huwezi kulinganisha ufisadi wa Kagame na wa Kikwete. At least Kagame anafanya mambo kwa wananchi yake yanayoonekana matunda yake./ Kikwete amebaki tu kumfanya Riz1 ajulikane kuwa young billionaire na mkiugua anawaleteeni ambulance za bajaj wakati mwenyewe ana ambulance ya kisasa katika msafara wa magari yake. Huwezi kuwalinganisha hawa wawili hata kidogo!