Ruti ya DODOMA TO MWANZA - Msaada wa anayejua Kampuni nzuri ya Bus

Dr Alfonsi

Member
Jun 16, 2023
34
70
Wana familia ya Jf,

Naomba kujuzwa kampuni yenye mabasi mazuri yanayosafiri kuanzia Dodoma mjini kuelekea Mwanza mjini anifahamishe.

Sijawahi kufika Mwanza, ndio mara yangu ya kwanza na safari naanzia hapa Dom mjini.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu mtakao nipa taarifa njema, na pia natanguliza shukrani kwa pisi Kali za Kanda ya ziwa ambazo zitakuwa tayari kunikaribisha jijini mwanza.

ASANTE SANA 🙏
 
Mabasi yapo mengi na yote mazuri. Nenda CBE kwenye booking office zao kata ticket ya basi lolote uanze safari saa 12 asbh ili ufike mapema kwakuwa ni mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom