Dr Alfonsi
Member
- Jun 16, 2023
- 34
- 70
Wana familia ya Jf,
Naomba kujuzwa kampuni yenye mabasi mazuri yanayosafiri kuanzia Dodoma mjini kuelekea Mwanza mjini anifahamishe.
Sijawahi kufika Mwanza, ndio mara yangu ya kwanza na safari naanzia hapa Dom mjini.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu mtakao nipa taarifa njema, na pia natanguliza shukrani kwa pisi Kali za Kanda ya ziwa ambazo zitakuwa tayari kunikaribisha jijini mwanza.
ASANTE SANA 🙏
Naomba kujuzwa kampuni yenye mabasi mazuri yanayosafiri kuanzia Dodoma mjini kuelekea Mwanza mjini anifahamishe.
Sijawahi kufika Mwanza, ndio mara yangu ya kwanza na safari naanzia hapa Dom mjini.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu mtakao nipa taarifa njema, na pia natanguliza shukrani kwa pisi Kali za Kanda ya ziwa ambazo zitakuwa tayari kunikaribisha jijini mwanza.
ASANTE SANA 🙏