Rushwa haina madhara yoyote ya maana kwa maendeleo ya nchi

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
 
Mbona hata kununua bidhaa nje ya nchi NI sawa na kutorosha pesa nje...labda kabla ya masuala ya rushwa tupige Vita uagizwaji wa ndege,madawa,magari,n.k ili pesa zibaki hapa tu kuzunguka nchini
 
Utakapo hitaji kitu muhimu au huduma muhimu ambayo ni haki yako afu uulizwe umejipangaje . Ndo utakapo elewa
Haya ni mambo yanatokea, na si mazuri. Lakini kwenye level za macroeconomics hayana madhara yoyote ya maana. Tena yanasaidia kuongeza mzunguko. Kipindi cha JK rushwa na ufisadi vilishamiri, lakini pia shughuli za kiuchumi zilipamba moto.
 
Kupitia rushwa,hata watu wasio qualify,wanapata fursa!We fikiri wapanga maendeleo ya nchi wanakuwa vilaza kisa tu wamepata nafasi hizo Kwa rushwa!
Sometimes/mara nyingi watu wanakuwa wamequalify ila wanatoa rushwa sababu ya competition. Shida kubwa ni mtu kula rushwa, au kufanya ufisadi kisha akatorosha pesa.
 
Sometimes/mara nyingi watu wanakuwa wamequalify ila wanatoa rushwa sababu ya competition. Shida kubwa ni mtu kula rushwa, au kufanya ufisadi kisha akatorosha pesa.
Mkuu rushwa Ina athari Moja Kwa Moja kwenye maendeleo na uchumi wa taifa!

Mfano mradi wa Bilioni 5,wahusika wanapewa rushwa then unaambiwa thamani halisi ya mradi ni bil 10!Huoni inageuka kuwa mzigo Kwa walipa Kodi na kuathiri uchumi wa nchi!

Hujajifunza tu kupitia kashfa kubwa za rushwa zilivyotutafuna,anzia EPA, ESCROw, Richmond, Dowans NK!

Kweli ukiwa na akili timamu unasema watu wale rushwa ila wazitafunie humu humu nchini!
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Kuna kampuni ilipata tenda ya kuleta mbolea inchini..jamaa walihonga sana kupata huo mchongo..by the way..ndo ilivyo...huwez pata tenda kubwa za mabilion kizembe zembe serikalin..ni kawaida kama ilivyo kawaida kumhonga askar wa barabaran..

Okay..to the point

Jamaa wakahonga wazil kama 2bil..na wengne huku milion mia mia zikatembea sana..jamaa wakapata tenda karibia mbolea ya 20bil....jamaa walivyo washenz wakatoa mbolea wap sjui ime expire wakaweka mifuko mipya na nembo mpya..ikaingizwa nchini...wakulima ni vilio tuu..ile mbolea ilikua inaunguza mazao balaa. Hasara kubwa kwa taifa halaf wew unasema nin...kama hujui mambo usiropoke...sasa hyo ni mbolea...bado madawa...sukar...etc..tunakula vtu vya hovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Hizo fedha zinazo toroshwa hadi zifanyiwe udhibiti wanazitoa wapi?
Unajua nini maana ya rushwa?
 
Back
Top Bottom