Rushwa haina madhara yoyote ya maana kwa maendeleo ya nchi

Mfano wa nchi gani hapa duniani Rais amewahi kupatikana kwa rushwa?
Uwepo wa rushwa haina maana kwamba kila jambo linawezekana kufanyika kwa rushwa, mifano yako ni hypotheticals za kitoto.
Rushwa INA madhara makubwa uchumi wa nchi chukulia waziri wa uchumi ,raisi nk wamepatikanao kwa rushwa wakati hawana uwrezo wa kuendesha uchumi wa nchi unajua madhara kwenye uchumi wa nchi?

Ukapata gavana wa benki kuu aliyepatikana kwa kuhonga au kamishina TRA na watendaji wa taasisi kibao za kiuchumi wakapatikana kwa rushwa wakati uwezo wao zero unajua madhara yake?

Tenda kubwa zikatolewa kwa rushwa kwa wasio na uwezo za miundombinu nk unajua madhara yake kiuchumi?

Madhara ni makubwa mno
 
Hizo ni stori za vijiweni kusongesha muda tu.
Kiwango cha umaskini Russia ni 13%, Marekani(USA) ni 11%. Russia ni mojawapo ya nchi zenye maendeleo na huduma zote muhimu zilizo bora kwa watu wake wengi.
While Russia is a very resource-rich country, it suffers from intense social inequality. The top 1% of the Russian population control 71% of the nation’s wealth. 13% of Russians are currently living in poverty. Unfortunately, the majority of people living in extreme poverty are children. 60% of those living below the poverty line in Russia are families with children. As a result of social inequality, child poverty in Russia continues to rise. Currently, one in four Russian children lives below the poverty line.

Poverty in Russia​

Russia is one of the world’s largest exporters of oil. As such, those that control the oil industry generate great wealth. However, this leaves many others to suffer in poverty. The nation has a high unemployment rate, but people who have obtained employment often suffer as well. The minimum wage in Russia is among the lowest of all developed countries. The monthly minimum wage in Russia is 12,310 rubles, which is the equivalent of $196.

Additionally, 26% of Russian children live off of close to $150 per month. Child poverty in Russia is most prevalent in rural areas, as many do not have access to employment opportunities in the city. The majority of children living in poverty reside with their families. Most families have three children and are often unable to sustain themselves with their current income.

 
Siku moja utakapopeleka kesi mahakamani kuwa jirani yako amemega hatua 5 za kiwanja chako ndipo utajua nguvu ya rushwa .
Ila hoja yako ni nzuri.
Utoroshwaji wa mabilioni ni janga kubwa zaidi ya rushwa au sawa na rushwa
 
Miradi ya maendeleo ni Kwass ajili ya nani? Si Mwananchi! Na ajira ilitolewa na Trafiki ni kwa ajili ya nani? Si Mwananchi! Tena Trafiki Anatol ajira papo kwa hapo tena inakuwa endelevu kuliko hiyo miradi ya maendeleo isiyo na tja na Sio endelevu! @ red Gant ana akili saaaana
Sasa uugue then ukose dawa hospitali ndio utatia akili!Unadhani rushwa ikishamiri hata hivyo vifaa tiba vitakuwepo?Pembejeo Bora za kilimo zitakuwepo?Watu watatoa rushwa walete vitu fake!
Mna akili kweli?
 
Mmh htr sana...mambo ya "kukoseshana mbingu"...nani atapona !? Unyakuo huu hapa..666 on duty..till ar magedon
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Sawasawa....
 
Back
Top Bottom