Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Kinachotarajiwa kufanyika leo ni hukumu ya pingamizi lililokuwa limewekwa na wakili wa walalamikaji wa awali(wakili Mughwai wa akina Mussa Mkanga) na si hukumu yenyewe ya rufaa ya Lema.
Ikiwa pingamizi hilo litatupwa, hapo ndipo rufaa itaanza kusikilizwa. Lakini ikiwa pingamizi hilo litakubaliwa, basi hapo ndipo utakuwa mwisho wa rufaa ya Lema, na jimbo la Arusha litakuwa wazi rasmi kwa ajili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi mdogo.
Ikiwa pingamizi hilo litatupwa, hapo ndipo rufaa itaanza kusikilizwa. Lakini ikiwa pingamizi hilo litakubaliwa, basi hapo ndipo utakuwa mwisho wa rufaa ya Lema, na jimbo la Arusha litakuwa wazi rasmi kwa ajili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi mdogo.