Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
naelekea saiz mahakamani
Karibu sana.Tupo Mahakamani.Kamanda Lema ameshaingia amekaa kiti cha Mbele .
naelekea saiz mahakamani
Bodi ipi ? ya korosho songa mbele huko ukanywe gahawaWanabodi na wanaushirika.
Tujenge utamaduni wa kuheshimu uhuru wa mahakama tukubali hukumu yoyote itakayotolea na mahakama.
........
Leo ni hukumu ya pingamizi ya rufaa ya Lema inayosomwa Dar! Pingamizi likitupiliwa mbali tu basi usikilizwaji wa rufaa ya Lema utaendelea!
Ikiwa pingamizi hili litakubaliwa, basi Lema atakuwa amevuliwa rasmi ubunge, na jimbo litakuwa wazi!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema!......
Leo ni hukumu ya pingamizi ya rufaa ya Lema inayosomwa Dar! Pingamizi likitupiliwa mbali tu basi usikilizwaji wa rufaa ya Lema utaendelea!
Ikiwa pingamizi hili litakubaliwa, basi Lema atakuwa amevuliwa rasmi ubunge, na jimbo litakuwa wazi!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema!
.........
kabisa mkuu RitzWanabodi na wanaushirika.
Tujenge utamaduni wa kuheshimu uhuru wa mahakama tukubali hukumu yoyote itakayotolea na mahakama.
Tupatie UPDATE mkuu, thanx, Please Mods tulekibishieni Title coz kuna watu wapo live....JF msituangushe..Karani wa mahakama ameanza kusoma dondoo
-Mawakili wanatambulishwa
Karani wa mahakama ameanza kusoma dondoo
-Mawakili wanatambulishwa
naelekea saiz mahakamani......
Karibu sana.Tupo Mahakamani.Kamanda Lema ameshaingia amekaa kiti cha Mbele ..........
Leo ni leo kusuka ama kunyoa HIGH COURT DAR, kamanda Lema anaweza akarudishiwa ubunge au akaukosa, hilo linategemea maamuzi ya jopo la majaji wa mahakama kuu ikiongozwa na jaji mkuu. Kwa hiyo hapa kunaweza kutokea ya OBAMA au ya ROMNEY (GOD FORBID)......
Wanabodi na wanaushirika.
Tujenge utamaduni wa kuheshimu uhuru wa mahakama tukubali hukumu yoyote itakayotolea na mahakama.
Karibu sana.Tupo Mahakamani.Kamanda Lema ameshaingia amekaa kiti cha Mbele ........
Bodi ipi ? ya korosho songa mbele huko ukanywe gahawa.....