Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Lema kashinda Pingamizi la kesi leo, kesi inaanzwa kusilizwa kesho then Hukumu after 14 days
Angalau wewe sasa nimekuelewa bila kuacha chembe ya shaka hata kidogo, Ikiwa maelezo yako yatakuwa sahihi.
Lakini angalau umejitahidi kunyoosha maelezo na umeeleweka.