Ruling Kuhusu Kesi ya Lema ni Leo!!

Ruling Kuhusu Kesi ya Lema ni Leo!!

Who is Lema kwani?????? Kwanini habar yake ipewe mvuto. KUna mambo mengi sana ya kuandika na yenye uzito..siyo habari kama hii!!

Lema ni mbunge wa zaidi ya watu laki 2, na mwanaharakati wa chama nyenye mamlioni ya wafuasi wenye mapenzi makubwa sana kwa chama nchini.

Hujaona bado wapi umihmu wake unaonekana?hembu fikiria kinachoweza tokea ktk ya wafuasi wote hao nyumba yake kama hakiwezi kuwa habari tena ya kutisha kama si ya kushangaza sana.
 
Lema kashinda Pingamizi la kesi leo, kesi inaanzwa kusilizwa kesho then Hukumu after 14 days
Hata kama hautokuwa sahihi lakini wewe ndiye pekee niliyekuelewa tena kwa kutumia maneno machache mno. nilitalajia waliopo Mahakamani watupe maelezo ya format hii.

Nakuongezea LIKE na nakuongezea Reputation Power.
 
Mwongo mkubwa wewe, katafute vijiwe vya kahawa ndio uende kuwadanganya wajinga na wapuuzi wenzio.

Wewe ndiyo mjinga na mpuuzi, mimi nipo hapa Marekani jimbo la Uhio na mimi mwenyewe nimepiga kura tarehe 20 mwezi jana, sa sijui unachobishana na mimi bila ushahidi ni nini kama siyo ujinga uliokukaa kichwani. Jinga sana
 
Anayejua haki imetendeka au haijatendeka ni sisi wananchi ambao tulimpa kura mbunge wetu si mahakama,na haki isipotendeka ndio nimesema wataumia.
kweli ee!basi tusiwe na mahakama halafu ninyi ndio mtakaokuwa mnaamua kipi haki na kipi si haki.
 
Mkuu kabla ya rufaa kuanza kusikilizwa pale arusha, upande wa ccm waliweka pingamizi juu ya usikilizwaji wa rufaa hii kutokana na makosa yaliyofanywa na mahakama kuu ya arusha ktk documents zilizowasilishwa na wakili wa cdm, maamuzi juu ya mapingamizi hayo ndio yametolewa leo ambapo mahakama imeamua marekebisho yakafanyike na kesi ya msingi itaendelea baada ya siku 14.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kama nimekuelewa vizuri mkuu ni kwamba pingamizi lililokuwa limewekwa na wakili mughwai wa ccm limetupwa na sasa kesi ya msingi ambayo ni rufaa ya Lema itaanza kusikilizwa baada ya hizo siku 14? au nimeelewa tofauti?
 
Asante kwa ufafanuzi! Hebu twambie kwa ufafanuzi kuhusu pingamizi lililo kubaliwa na Mahakama!

Lema kashinda Pingamizi la kesi leo, kesi inaanzwa kusilizwa kesho then Hukumu after 14 days
 
Kama nimekuelewa vizuri mkuu ni kwamba pingamizi lililokuwa limewekwa na wakili mughwai wa ccm limetupwa na sasa kesi ya msingi ambayo ni rufaa ya Lema itaanza kusikilizwa baada ya hizo siku 14? au nimeelewa tofauti?
Nilikusifu kweli kwa kumuelewa Bara-bara.
 
Poleni makamanda mmekodisha costa kumi kutoka Arusha na Kilimanjaro mpaka Dar, kesi imepigwa tarehe mtarudi au mtasubiri mpaka tarehe 14.

Zitakuja zaidi n amagari binafsi pamoja na pikipiki za kutosha,hasa kwa wale watu waliokuwa hawana hakika sana kuwa ni dar au arusha.Watu wa arusha wamezoea kudrive na kwenda mbali.Hata timu ya wazee huenda nzhi nzima kucheza mechi za kujifurahisha na watu wa huko, na huko hupiga mechi kuanzia asubuhi hadi jioni kwa viwanja tofauti ktk hiyo mikoa.So usisngae kuona rubega za kutosha siku hiyo.
 
Wewe ndiyo mjinga na mpuuzi, mimi nipo hapa Marekani jimbo la Uhio na mimi mwenyewe nimepiga kura tarehe 20 mwezi jana, sa sijui unachobishana na mimi bila ushahidi ni nini kama siyo ujinga uliokukaa kichwani. Jinga sana
Ni kweli Upo Marekani.
 
Mungu akubaliki kamanda Lema, na yote akutendee mema. Amina.
 
Kama nimekuelewa vizuri mkuu ni kwamba pingamizi lililokuwa limewekwa na wakili mughwai wa ccm limetupwa na sasa kesi ya msingi ambayo ni rufaa ya Lema itaanza kusikilizwa baada ya hizo siku 14? au nimeelewa tofauti?

Hapa tunachanganyana wengine wanasema Hukumu itakuwa baadaya ya siku 14 huku kesi ya msingi ikiendelea kusikilizwa.

Nafikiri tunahitaji ufafanuzi zaidi toka kwawalioudhuria mahakamani
 
Mkuu kabla ya rufaa kuanza kusikilizwa pale arusha, upande wa ccm waliweka pingamizi juu ya usikilizwaji wa rufaa hii kutokana na makosa yaliyofanywa na mahakama kuu ya arusha ktk documents zilizowasilishwa na wakili wa cdm, maamuzi juu ya mapingamizi hayo ndio yametolewa leo ambapo mahakama imeamua marekebisho yakafanyike na kesi ya msingi itaendelea baada ya siku 14.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mkuu Matola na Mwita Maranya

Huu ndio ufafanunuzi kwa haraka,

Kwakifupi nikuwa Lema ameshinda Pingamizi la ccm, kesi ya msingi itaendelea

Asante Daudi!
 
Wewe ndiyo mjinga na mpuuzi, mimi nipo hapa Marekani jimbo la Uhio na mimi mwenyewe nimepiga kura tarehe 20 mwezi jana, sa sijui unachobishana na mimi bila ushahidi ni nini kama siyo ujinga uliokukaa kichwani. Jinga sana

nchi kam aina mfumo mzuri,kura zinaweza pigwa mapema ili kupisha wasafiri au wanaofanya kazi zinazowabana wapiga kura, ila siku maalumu ndio siku ya kuangalia hapa.Kura zikipigwa mapema kwa nchi kama zetu CCM watapoteza sana muda ktk ile dark Art yao+kutumia mtokeo kumanipulate watakaopiga baadaye..
 
There are currently 819 users browsing this thread. (192 members and 627 guests)

 
Heshima kwenu wakuu,

Tangu mwanzo nilitabiri hii kesi Lema atashinda,leo mapingamizi mawili yametupwa na moja limeamriwa lirekebishwe ndani siku kumi na nne ili kesi iendelee kusikilizwa.

Ngongo nilishaanza kujiuliza leo umepotelea wapi katika uzi huu mnono?
 
Heshima kwenu wakuu,

Tangu mwanzo nilitabiri hii kesi Lema atashinda,leo mapingamizi mawili yametupwa na moja limeamriwa lirekebishwe ndani siku kumi na nne ili kesi iendelee kusikilizwa.

Mkuu Ngongo kwa kipindi hiki tafadhali jitahidi kusahau tofauti zako na Lema, endelea kumtabiria mambo mema ili hatimaye haki yake ionekane ikitendeka na kupatikana.
 
Last edited by a moderator:
Akirudishiwa ubunge atapewa hela ambazo hawajamlipa kipindi ambacho hakuwa bungeni? maana naona hii ni wizi mtupu ulifanyika
 
Back
Top Bottom