Ruling Kuhusu Kesi ya Lema ni Leo!!

Ruling Kuhusu Kesi ya Lema ni Leo!!

hell.

Ruling tayari, mapingamizi 2 yametupwa, moja limekubaliwa, lakini kwamba in 14 days kasoro irekebishwe na kesi ya msingi iendelee
[/QUOTE]
 
Hebu kamanda Nanyaro tupe ukweli wa hii mambo hapa mirerani watu wanafuatilia sana.
 
Mahakamani leo.

5278909_orig.jpg
 
[/QUOTE]
Kha ha ha ha ha ha ha ha haaaaa!! Hata angewekwa kipofu atashinda tu! Hapa ccm wakirudisha hili jimbo mikononi mwao itakuwa ndoto ya saa nne ya asubuhi!


Panua fikra ndugu yangu. hapa una wanyanyapaa ndugu zetu wasio na uwezo wa kuona. Nataka kuamini unajua kuwa wapo wengi wana uwezo mkubwa kiuongozi kuliko wengi tu wasio na ulemavu huo. Pengine umepitiwa tu ndugu yangu ukaandika hivi.
 
Mahakama inatumika kuwaonea wakazi wa Arusha..hukumu imekuwa ngetwa.ila ipo cku magamba yatachunwa 2
 
Ee Mola,naomba katika kesi ya Lema,uwape ujasiri majaji kutoa uamuzi wa haki !
 
IMG-20121108-WA0005_thumb1.jpg

MAGWANDA YETU HUWA HAYAMKATAI MTU.....Huyo na Kijins chake vipi ni Gamba nini?
 
Angalau wewe sasa nimekuelewa bila kuacha chembe ya shaka hata kidogo, Ikiwa maelezo yako yatakuwa sahihi.
Lakini angalau umejitahidi kunyoosha maelezo na umeeleweka.

Ndo ameharibu kabisaaaa!!!

Imetolewa ndani ya siku 14 kasoro zilizojitokezwa ziwe zimerekebishwa baada ya hapo kesi ya msingi itaanza. Lini? Baadaye.
 
Hebu sahihisha kwanza hapa!! kwa data nilizo nazo Tanzania kwa sasa haina mbunge yoyote anayeitwa Lema

Utajiju, kwani kesi imekwisha?Unless matokeo yatakuwa tofauti bado by default ni mbunge aliesimamishwa.
 
Iko hivi:Serikali iliweka mapingamizi matatu katika rufaa ya Lema,mahakama katika uamuzi wake mdogo (ruling) ilichokifanya leo baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili,ni kuyatupilia mbali ,mapingamizi mawili(dismissal)na kulikubalia moja(uphold).Matokeo ya kulikubali pingamizi moja ni kwamba to some extent rufaa ya Lema ilikuwa na matatizo lakini yanayorekebishika(curable defects).Hivyo Mahakama kwa kuzingatia misingi ya haki imeamua kuiondoa rufaa ya Lema Mahakamani lakini ikatoa nafasi ya kuirudisha tena(The Court of Appeal has decided to struck out the appeal with leave to re-file).Kwa kuwa ruhusa ya kurudisha rufaa imetolew,mahakama ikaona ni vema zitolewe siku 14 tu ili makosa yaliyobainishwa yarekebishwe na rufaa irudishwe.Rufaa ikisharudishwa mahakamani ndani ya siku 14 itapangiwa tarehe nyingine kwa kuzingatia ratiba ya Mahakama ya rufaa.
 
Back
Top Bottom