Nao wawekwe kitimoto waeleze ukweli hadhalani, maana hata baba akifanya hivyo na H/G haipiti wiki, kila kitu kiko adhalani, sembuse watoto wa shule na kwa siku kadhaa??lakini waliwezaje kuwafanya matusi watoto wadogo bila kujulikana, watu watatu wababa kabisa wazini na vitoto vya miaka saba hadi 12 isijulikane hadi zaidi ya mwezi mmoja, mmh madaktari tufafanulieni hili, inawezekanaje mambo haya.
ushindwe na ulegee!Nawaombea watoke.
Hta mimi namuombea atoke whether alibaka au hakubaka. Why? Coz naamini amejutia kosa lake kwa muda wote huo aliokuwa kifungoni, na mbaya zaidi akiwa na vijana wake, everybody needs forgiveness and a second chance. Kama Mungu angekuwa hatusamehi makosa yetu unadhani ingekuwaje, and we are repeteadly sinning, But God has mercy and gives us a chance to repent n be restored, so we have to forgive so that we can be forgiven.
watanzania mbona tunakua wajinga sana?, hembu someni kesi yake ndo muweze kusema kabla hamjaamua kuchangia hapa. Wale jamaa UKISOMA KESI WAMEFANYA MAMBO MABAYA SANA, NA WANASTAHILI KUOZEA MULE JELA.
nashauri msome kesi.
Ujue hii habari ya babu Seya wala haileweki, wengine wanasema kweli alifanya hayo makosa na watoto wake.
Ila kuna vitetesi huku mitaani kwamba hakufanya, ila kuna mtu mmoja ni mkubwa hapa nchini ndio kaamua kumuweka ndani yeye na watoto kwa sababu babu Seya alikuwa anamnyemelea mke wa huyo mkubwa flani. Hivyo eti hata wale mashahidi ni wakupikwa.
Ni nanai atathibitisha ukweli huu Pretty ???
This is logic but not realityMie akili yangu haijawahi kuukubali ukweli huu
sijawahi kuona baba akawa na akili moja na wanae wote angekuwa mmoja sawa lakini watatu wote wana kubaliana vitendo vya ajabu namna hii
ni mwenyezi mungu pekee atatoa hukumu ya haki kama walifanya au hawakufanya
Hainiingii akilini kabisaaaaaaa hasa nikianza ku -imagine kama ni baba yangu vile na kaka zangu watatu wote wanaakili ya kufanana ....aaah kweli !?