Hili ni swala la kisheria na mambo yakuombeana mungu hayana nafasi sana hapa. Kila mtu ahukumiwe kwa kosa alilofanya na kwasheria zilizopo. Kwakua mahakama ndio chombo cha kutafsiri na ksuimamia sheria, na kwakua mahakama nma hakimu Lyamuya na Jaji Mihayo wote waliamini hawa watu walitenda vitendo hivi viovu dhidi ya watoto wetu, binti zetu, waaalimu na madaktari wa kesho basi lazima waendelee kuwajibika
Ni vigumu kuamini watu hawa baba na watoto wamefanya hili jambo kwa pamoja, ila kwakua nalo ni vigumu kuamini mtu mzima kubaka na kulawiti katoto ka miaka mitatu, na kwakua hii imekua ikitikea, basi binafsi nakila sababu katika ugumu huo huo kuamini mahakama imesimama ktk ukeli.
Jiweke ktk nafasi ya mzazi ambae mwanae alifanyiwa hivyo na utajua ungekua na nafasi kuinfluence hukumu hii ungefanyaje .
Yetu macho