Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,429
lakini kwa nini tunaomba atoke?kwamba hajafanya kosa au? kwamba ametumikia vya kutosha au? kwa sababu anaonewa au?
siamini kama sheria ipo.......kama ipo tuiache itende kazi yake kama haipo basi tuwaache wakubwa wafanye wajuavyo.................
Unajuwa unachokiongea??Ina maana utakubali kuonewa na mkubwa hata kama hauna kosa.....Kama hujasoma una haki ya kusema hivyo na kama umesoma na unaijuwa elimu vizuri naamini huwezi kusema hivyo...Wewe unaona hiyo kesi ipo sawa???Naona umependa sana kuona hivyo!!