Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
RTO na LATRA mikoa ya Dodoma na Singida, basi la ISAMILO T863 DSB kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, muda huu lipo Dodoma na limepakia abiria waliosimama zaidi ya 20.
Cha ajabu basi limeingia standi kuu ya 88 Jijini Dodoma na hakuna Askari wa Usalama barabarani aliyeingia na kukagua ndani, hili siyo jambo la kawaida.
Kwa hali hii, basi linaweza kusababisha ajali mbaya.
Cha ajabu basi limeingia standi kuu ya 88 Jijini Dodoma na hakuna Askari wa Usalama barabarani aliyeingia na kukagua ndani, hili siyo jambo la kawaida.
Kwa hali hii, basi linaweza kusababisha ajali mbaya.