Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
kuongea ndani ya bunge sio kuwa ndio unafanya kazi ya ubunge.
kuwa mbunge siku hizi ni kujishibisha tumbo lako binafsi hasa hawa wabunge wa ccm, kwa mfano mbunge wangu karibu nitamsahau jina lake kwani haongei bungeni achilia mbali kutatua matatizo mbalimbali yanayotukabili, hebu fikiria sehemu wanayoita wilaya inapata umeme kwa muda wa masaa 6 kwa siku kweli hii ni haki? je huko vijijini ni lini utafika umeme kama mbunge hafanyi kitu chochote kile bungeni kwake zaidi ya kutoka kitambi na kuwasomesha watoto wake nje ya nchi katika shule ambazo zina'cost a milions of shilling?
kuwa mbunge siku hizi ni kujishibisha tumbo lako binafsi hasa hawa wabunge wa ccm, kwa mfano mbunge wangu karibu nitamsahau jina lake kwani haongei bungeni achilia mbali kutatua matatizo mbalimbali yanayotukabili, hebu fikiria sehemu wanayoita wilaya inapata umeme kwa muda wa masaa 6 kwa siku kweli hii ni haki? je huko vijijini ni lini utafika umeme kama mbunge hafanyi kitu chochote kile bungeni kwake zaidi ya kutoka kitambi na kuwasomesha watoto wake nje ya nchi katika shule ambazo zina'cost a milions of shilling?