Rostam (Mbunge) anawahadaa wananchi wa Igunga

Nenda Igunga kawaulize waliomteua huyo FISADI kuwa mgombea wao watakupa jibu then ndio uunganishe nguvu za kumng'oa
 
Its just the matter of time things will change believe it!!
 
Nilikua naangalia taarifa ya habari TBC asubuhi ya leo wanainchi wa ingunga jinsi wanavyoteseka baada ya daraja tegemezi kubomoka.

Walikua wanaiomba serikali iwategenezee daraja hilo.

Kwa jinsi ninavyowafahamu TBC,, habari kama hizo hurushwa asubuhi sana kwasababu wengi hawatazami TV,,na hawawezi kuirusha saa 2 usiku, kwani ni aibu kwa serikali.
 
Si walimchagua pacha RA, wamwambie yeye kama hajabandua gamba!!
 
Si walichukua tisheti na vitenge hawakujua hizo ndo zilikuwa hela za kujengea daraja.
Na bado nawaombea njaa iwakumbe ili wakati wa uchaguzi wafanye maamuzi sahihi.
 
Jana katika kusikiliza hotuba ya kujiuzulu Rostam Aziz, baadhi ya niliomsikia akisema ni kuwa Igunga katika wakati wake wa ubunge kaweza kuweka bima ya afya kwa kila kaya, jee, ni kweli? kama ni kweli, huu si mfano wa kuigwa? kwani mpaka sasa siijui wilaya nyingine yoyote Tanzania iliyopiga hatua kama hii.
 
Issue sio kwamba RA hajaleta maendeleo Igunga, hili halina ubishi.
Kinachofanya RA awe adui wa WaTZ including wana Igunga ni kushiriki kwake kwenye Ufisadi mwingi kiTaifa.

Nilisikia habari za member mmoja wa Mafia muuza madawa ya kulevya kule Mexico, alikuwa ametumia pesa alizopata toka katika biashara hii haramu kuleta maendeleo mengi kwa jamii ya walalahoi katika jimbo fulani. Polisi walipokuwa wanamkamata ilizuka vita ya kufa mtu kati yake na raia, wakimtetea 'mungu' wao anayewapatia riziki yao ya kila siku. Issue kwao haikuwa wapi alipata hizo pesa na ni madhara gani alisababisha kwa biashara yake hiyo haramu, bali waliangalia kile walichopata moja kwa moja.

Mafisadi wote wanafanana, wanatafuta kuwa-influence watu/ jamii kwa vimisaada vyao bali wakiacha madhara makubwa kwa jamii kubwa.
 
Issue sio kwamba RA hajaleta maendeleo Igunga, hili halina ubishi.
Kinachofanya RA awe adui wa WaTZ including wana Igunga ni kushiriki kwake kwenye Ufisadi mwingi kiTaifa.

Nilisikia habari za member mmoja wa Mafia muuza madawa ya kulevya kule Mexico, alikuwa ametumia pesa alizopata toka katika biashara hii haramu kuleta maendeleo mengi kwa jamii ya walalahoi katika jimbo fulani. Polisi walipokuwa wanamkamata ilizuka vita ya kufa mtu kati yake na raia, wakimtetea 'mungu' wao anayewapatia riziki yao ya kila siku. Issue kwao haikuwa wapi alipata hizo pesa na ni madhara gani alisababisha kwa biashara yake hiyo haramu, bali waliangalia kile walichopata moja kwa moja.

Mafisadi wote wanafanana, wanatafuta kuwa-influence watu/ jamii kwa vimisaada vyao bali wakiacha madhara makubwa kwa jamii kubwa.

Usiwasemee wana Igunga wacha waseme wenyewe!Kama wamefikia hatua ya Kuwa na Bima Kwa Kila Kaya Sasa nini Chaziada!Huyu alikuwa Mbunge wa Vitendo ila Madomo kaya ndio wanaomwandama mtu wa watu!Bora ameamua kuachana na Siasa!
Huwezi mwita Adui mtu anayeleta maendeleo kwa waliomchagua na Pia Anaechangia Pato la Taifa kupitia Uwekezaji wake!
Rostam atabaki mtu Muhimu kwa Taifa
 
Issue sio kwamba RA hajaleta maendeleo Igunga, hili halina ubishi.
Kinachofanya RA awe adui wa WaTZ including wana Igunga ni kushiriki kwake kwenye Ufisadi mwingi kiTaifa.

Nilisikia habari za member mmoja wa Mafia muuza madawa ya kulevya kule Mexico, alikuwa ametumia pesa alizopata toka katika biashara hii haramu kuleta maendeleo mengi kwa jamii ya walalahoi katika jimbo fulani. Polisi walipokuwa wanamkamata ilizuka vita ya kufa mtu kati yake na raia, wakimtetea 'mungu' wao anayewapatia riziki yao ya kila siku. Issue kwao haikuwa wapi alipata hizo pesa na ni madhara gani alisababisha kwa biashara yake hiyo haramu, bali waliangalia kile walichopata moja kwa moja.

Mafisadi wote wanafanana, wanatafuta kuwa-influence watu/ jamii kwa vimisaada vyao bali wakiacha madhara makubwa kwa jamii kubwa.

Unafananisha vitu tofauti na unaposema Rostam fisadi hutoi ushahidi wowote na hapo hapo unakiri kapeleka maendeleo Igunga. hata sikuelewi.
 
Ukiwa mwizi usile peke yako, RA alitumia 0.0000000001 ya mali aliyoipora kuwahadaa wana Igunga ni kweli hilo halina ubishi jamani
 
Issue sio kwamba RA hajaleta maendeleo Igunga, hili halina ubishi.
Kinachofanya RA awe adui wa WaTZ including wana Igunga ni kushiriki kwake kwenye Ufisadi mwingi kiTaifa.

Nilisikia habari za member mmoja wa Mafia muuza madawa ya kulevya kule Mexico, alikuwa ametumia pesa alizopata toka katika biashara hii haramu kuleta maendeleo mengi kwa jamii ya walalahoi katika jimbo fulani. Polisi walipokuwa wanamkamata ilizuka vita ya kufa mtu kati yake na raia, wakimtetea 'mungu' wao anayewapatia riziki yao ya kila siku. Issue kwao haikuwa wapi alipata hizo pesa na ni madhara gani alisababisha kwa biashara yake hiyo haramu, bali waliangalia kile walichopata moja kwa moja.

Mafisadi wote wanafanana, wanatafuta kuwa-influence watu/ jamii kwa vimisaada vyao bali wakiacha madhara makubwa kwa jamii kubwa.

Michael Christopher Coke aka (DUDUS) Tivoli Gardens, Kingston,Jamaica ~"alikuwa ametumia pesa alizopata toka katika biashara hii haramu kuleta maendeleo mengi kwa jamii ya walalahoi katika jimbo fulani. Polisi walipokuwa wanamkamata ilizuka vita ya kufa mtu kati yake na raia, wakimtetea 'mungu' wao anayewapatia riziki yao ya kila siku."​
 
Usiwasemee wana Igunga wacha waseme wenyewe!Kama wamefikia hatua ya Kuwa na Bima Kwa Kila Kaya Sasa nini Chaziada!Huyu alikuwa Mbunge wa Vitendo ila Madomo kaya ndio wanaomwandama mtu wa watu!Bora ameamua kuachana na Siasa!
Huwezi mwita Adui mtu anayeleta maendeleo kwa waliomchagua na Pia Anaechangia Pato la Taifa kupitia Uwekezaji wake!
Rostam atabaki mtu Muhimu kwa Taifa

Bima hiyo haikuletwa na RA NA ACHENI KUDANGANYA WATU, huo ni mradi wa wizara ya afya (CHF) kwa wilaya kadhaaa inchini Tanzania

Taarifa kutoka NHIF iliyomkariri Afisa anayeshughulika huduma za CHF, Bw Rehani Athumani imesema kuwa, Serikali imetoa kiasi cha bilioni 1.5 zinazojulikana kama fedha za tele kwa tele ili kutambua mchango wa wananchi kujipatia huduma za matibabu chini ya Mfuko wa CHF


Uongo wenu na Bosi wenu umepitwa na wakati
Rehani amesema halmashauri za Mbozi, Igunga, Ulanga, Morogoro, Mpwapwa, Handeni, Mwanga, Dodoma Manispaa, Pangani, Kongwa, Sumbawanga, Simanjiro, Liwale, Chamwino, Kibaha, Mbeya, Geita, Kahama, Mbulu, Rungwe, Meatu na Kigoma vijijini kuwa ni miongoni mwa halmashauri zilizonufaika na fedha hizo, hivyo kuziwezesha kuboresha huduma ikiwemo ununuzi wa dawa za ziada.

Angalia na uongo wake na rafiki yake kila linapokuja suala la kampeni

Habari Leo

Kikwete aahidi lami Igunga
Imeandikwa na Mgaya Kingoba, Igunga; Tarehe: 1st October 2010 @ 23:45 Imesomwa na watu: 477; Jumla ya maoni: 0


MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete ameahidi kujenga barabara za lami zenye urefu wa kilometa tatu katika Mji wa Igunga, Tabora.

Amesema mji huo umebadilika mno na kwamba haustahili kuendelea kuwa kama kijiji na badala yake ufanane na miji mingine.

Rais Kikwete alitoa ahadi hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini hapa. “Igunga ya leo sio mchezo, kilikuwa kijiji, sasa ni mji.

Lakini inabidi ufanane na miji mingine, na kwa hiyo nawaahidi nitajenga barabara za lami zenye urefu wa kilometa tatu,” alisema Rais Kikwete.


MTAISHIA KUKODISHA WATU WA KULIA MKIFIKIRI WATU WANGALI ENZI ZILE


 
Usiwasemee wana Igunga wacha waseme wenyewe!Kama wamefikia hatua ya Kuwa na Bima Kwa Kila Kaya Sasa nini Chaziada!Huyu alikuwa Mbunge wa Vitendo ila Madomo kaya ndio wanaomwandama mtu wa watu!Bora ameamua kuachana na Siasa!
Huwezi mwita Adui mtu anayeleta maendeleo kwa waliomchagua na Pia Anaechangia Pato la Taifa kupitia Uwekezaji wake!
Rostam atabaki mtu Muhimu kwa Taifa

hii comment inafanana na jina lako
 
hata wilaya mwanga kuna bima ya afya kwa kila kaya kuchangia sh 5000.naunga hoja ya kite
 
Jana katika kusikiliza hotuba ya kujiuzulu Rostam Aziz, baadhi ya niliomsikia akisema ni kuwa Igunga katika wakati wake wa ubunge kaweza kuweka bima ya afya kwa kila kaya, jee, ni kweli? kama ni kweli, huu si mfano wa kuigwa? kwani mpaka sasa siijui wilaya nyingine yoyote Tanzania iliyopiga hatua kama hii.

Hili linamaswali mengi sana.
Amewaensure na kampuni gani?
wanatibiwa katika hospitali zipi? zipo hospitali?
Premium per head ni kiasi gani?
Ni nani analipa?
Je ni mkakati endelevu? kwa mfano, now that Rostamu is gone, insurance coverage
hiyo (kama ipo) itaendelea?

Na hata kama alifanya hivyo, hii haimaanishi kwamba alikuwa kiongozi mzuri.
kama alikuwa kiongozi mzuri tunataka kuona sustainability katika hili ama sivyo
aliboronga
 
Unafananisha vitu tofauti na unaposema Rostam fisadi hutoi ushahidi wowote na hapo hapo unakiri kapeleka maendeleo Igunga. hata sikuelewi.

Huelewi vipi wewe!! Mafisdai wakiiba hutumia kiasi kidogo sana kuleta maendeleo kwa wananchi ili kuwafumba macho watu na dola
 
Back
Top Bottom