Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Analinda biashara zake

Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Analinda biashara zake

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Anaona mbali. Anajua mambo sio mazuri na asipokuwa makini naye anaweza kuhusishwa na kesi ya Mama ya mauaji huko EU. Lakini anaogopa kampuni zake zisiwekewe vikwazo akashidwa kuchukuwa mikopo au yeye binafsi bank account zake zinaweza kutaifishwa za huko nje kama matajiri wa Urusi. Anaweza kuzuiwa kusafiri kwenye US na nchi nyingine za EU kitu ambacho kita haribu sana biashara zake

Rostam sasa anasubiri namna ya kumweka mtu wake Mchimbi kwenye kiti cha Mama ni matter of time tu. Kwa njia salama au umafia

Njia waliotumia kumuondoa Job Yustino Ndugai ya madaktari ndiyo wataitumia kama biashara za huyu billionea zitakuwa hatarini
 
Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Anaona mbali. Anajua mambo sio mazuri na asipokuwa makini naye anaweza kuhusishwa na kesi ya Mama ya mauaji huko EU. Lakini anaogopa kampuni zake zisiwekewe vikwazo akashidwa kuchukuwa mikopo au yeye binafsi bank account zake zinaweza kutaifishwa za huko nje kama matajiri wa Urusi. Anaweza kuzuiwa kusafiri kwenye US na nchi nyingine za EU kitu ambacho kita haribu sana biashara zake

Rostam sasa anasubiri namna ya kumweka mtu wake Mchimbi kwenye kiti cha Mama ni matter of time tu. Kwa njia salama au umafia

Njia waliotumia kumuondoa Job Yustino Ndugai ya madaktari ndiyo wataitumia kama biashara za huyu billionea zitakuwa hatarini
The King maker, baada ya kushindwa kumtengeneza the King wa 2015 alikimbia nchi,then uzalendo ukamrudisha nyumbani,then the unwanted had to go!,he has already made the 2030 king whoever atakaye tempa the 2030 made king,shauri yake!,naona Myira anajitutumua kwa kukurukakara nyingi lakini hazita saidia kitu, ile ya 2030 imeisha!
P
 
The King maker, baada ya kushindwa kumtengeneza the King wa 2015 alikimbia nchi,then uzalendo ukamrudisha nyumbani,then the unwanted had to go!,he has already made the 2030 king whoever atakaye tempa the 2030 made king,shauri yake!,naona Myira anajitutumua kwa kukurukakara!
P


Unanielewa vizuri. Rostam anaogopa sana sasa na salia yake ni moja tu ambayo watu hawafahamu. Marekani kwasasa wanamtumia Ruto kujua wafanye nini Tanzania! mtu pekee ambaye Rostam anamuogopa ni Ruto kwasababu iteligensia na Rubio wa USA anamsikiliza Ruto. Uzuri Rostam na Ruto ni marafiki
 
Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Anaona mbali. Anajua mambo sio mazuri na asipokuwa makini naye anaweza kuhusishwa na kesi ya Mama ya mauaji huko EU. Lakini anaogopa kampuni zake zisiwekewe vikwazo akashidwa kuchukuwa mikopo au yeye binafsi bank account zake zinaweza kutaifishwa za huko nje kama matajiri wa Urusi. Anaweza kuzuiwa kusafiri kwenye US na nchi nyingine za EU kitu ambacho kita haribu sana biashara zake

Rostam sasa anasubiri namna ya kumweka mtu wake Mchimbi kwenye kiti cha Mama ni matter of time tu. Kwa njia salama au umafia

Njia waliotumia kumuondoa Job Yustino Ndugai ya madaktari ndiyo wataitumia kama biashara za huyu billionea zitakuwa hatarini
Basi naalinde na haki ya wanataifa hili!
 
The King maker, baada ya kushindwa kumtengeneza the King wa 2015 alikimbia nchi,then uzalendo ukamrudisha nyumbani,then the unwanted had to go!,he has already made the 2030 king whoever atakaye tempa the 2030 made king,shauri yake!,naona Myira anajitutumua kwa kukurukakara!
P
HIi inathibitisha tetesi nyingi sana kuwa kweli.

He missed 2015, did in 2021. Same kwenye mipango kama alivyosema mleta mada.

Dah kuna nafasi, roho mkononi muda wote.
 
Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Anaona mbali. Anajua mambo sio mazuri na asipokuwa makini naye anaweza kuhusishwa na kesi ya Mama ya mauaji huko EU. Lakini anaogopa kampuni zake zisiwekewe vikwazo akashidwa kuchukuwa mikopo au yeye binafsi bank account zake zinaweza kutaifishwa za huko nje kama matajiri wa Urusi. Anaweza kuzuiwa kusafiri kwenye US na nchi nyingine za EU kitu ambacho kita haribu sana biashara zake

Rostam sasa anasubiri namna ya kumweka mtu wake Mchimbi kwenye kiti cha Mama ni matter of time tu. Kwa njia salama au umafia

Njia waliotumia kumuondoa Job Yustino Ndugai ya madaktari ndiyo wataitumia kama biashara za huyu billionea zitakuwa hatarini
Kuna nyakati zinakuja na zitafika tu ,bila kujali umenyamaza au la , mali zako zitabaki kama zipo kihalali , au kutaifishwa kama sio halali ,asema Bwana.

So kunyamaza ,bado ni kazi bure
 
The King maker, baada ya kushindwa kumtengeneza the King wa 2015 alikimbia nchi,then uzalendo ukamrudisha nyumbani,then the unwanted had to go!,he has already made the 2030 king whoever atakaye tempa the 2030 made king,shauri yake!,naona Myira anajitutumua kwa kukurukakara!
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom