Aliwahi kunena hilo mwanasiasa mkongwe Dr.Mzindakaya kuwa nchi inaendeshwa na familia 9 tu tajiri, sasa sijui sie wengine tunasubiri nini humu duniani.Moja wapo ni huyo fisadi.
Ni bora angekaa kimya
Hata aongee maneno gani, mdomo wake unanuka uozo
Unashindwa kumpeleka polisi? Si uende tu kituo cha polisi chochote cha karibu yako ukashitaki?Mwizi mkubwa.
Hivi hakuna wa kujitoa mhanga nchi hii!
Uozo ni ule unaodanganya watu. Simenti 5,000? Ili nini? Tumchaguwe?
Weeeee !!!!!!! unaongea tu, vita kawaulize Kagera halafu urudi hapa JF utuambie tupigane. Kapigane mwenyewe. Siasa siyo vita unayofikiria, ama kweli umenyweshwa sumu tayari ya wazururaji wa mikoani. Mwanaume ni Mzee wa Kiraracha tu anayewapeleka puta viongozi wezi mawilayani siyo kuzunguka na kuzurura mikoani badala ya kuwaletea wananchi maendeleo majimboni mwao. Kazi hiyo labda aachiwe Slaa kwa sababu hana jimbo na anatafuta wachumba mikoani na kuzulia watu vifo, eti alikuwa Padri!!!!! No wonder alishindwa, kageukia wanawake, nao mara azae nao na kuwatelekeza halafu achukue wake za watu na sasa kaeni chonjo katika maandamano, mwenzenu anatafuta wachumba. Na wewe chunga atakupora wa kwako usipo angalia. Bwana awe nanyi.........awe nawe pia........tuombe..... Utamsikia kila mwisho wa hutuba yake. Ama kweli Katibu Mkuu tunaye.
Fix tupu kwa hiyo Pinda alipotaka apewe majina ya wanaouza sukari kwa bei ya juu ilikuwa changa la macho, tena akaagiza sukari ishuke bei kazi kwenu.Alisema hata nchi jirani Kenya na Uganda, nazo zimekumbwa na mfumuko wa bei ya bidhaa hizo ambapo bei ya sukari katika nchi hizo ni Sh2,000 kwa kilo sawa na Tanzania.
Mbona sioni kutajwa Chadema? au wanasiasa uchwara ndio Chadema?
RA amesema yeye ni mwanasiasa makini na kamwe hababaishwi na wanasiasa uchwara.
Amesema maisha magumu kwa watanzania hayatokani na CCM, bali mfumo wa kidunia unaoendana na hali halisi ya sasa.
UVCCM wako wapi kuandaa maandamano kuunga mkono kauli ya mwanasiasa makini Rostam Azziz?
Unashindwa kumpeleka polisi? Si uende tu kituo cha polisi chochote cha karibu yako ukashitaki?
"Nilikutana na Dk Wilibrod Slaa katika uwanja wa ndege wa Mwanza nikamuuliza kuwa nilisikia wakati ukihutubia wananchi wa Musoma kwamba Chadema mkichukua nchi mfuko mmoja wa saruji utauzwa Sh5,000 tu, lakini hakujibu," alisema Rostam.
Alisema kwa mtazamo huo aligundua kwamba maneno wanayozungumza Chadema ni ya kudanganya wananchi ili wawape ridhaa ya kuongoza nchi na si kuwaletea maendeleo kama walivyokuwa wakijinadi.
kakakuona kazungumza!
mwanasiasa makini asiweza kuchangia mijadala mjengoni