Rostam awaparamia CHADEMA

Rostam awaparamia CHADEMA

Mtake msitake RA kasema kweli yy ni mwanasiasa makini, ktk vikao vyote vya ccm hakuna hata mmoja aliyewahi mkemea kwa mwenendo wake, pili katika wabunge wote wa ccm na baadhi ya wapinzani hakuna anayeweza kumsema hadharani sasa kama sio makini tusemaje. Na mwisho wa Tz tumesema weee still jamaa anadunda tu na Dowans inatengenezewa namna ya kulipwa.
 
Dr Slaa akiwa Rais,Tanzania itakuwa kama Zimbabwe:embarassed2:
 
We will see where Rostam will end up in couple of months. This guy is one of the best criminal and hated person in Tanzania. Rostam work hard to represent ccm.

ccm at best!​
 
Hakuna chama maana kawaambia ndugu zake,Zaidi ni chadema,Mwenye akili waweza ona kuwa sasa.WATU WASOKA TUMEZOEYA KUYAONA MAMBO HAYA MPIZANI WAKO AKIKUCHANGANYA NDO MWANZO WA KUPOTEZA MECHI,kwani umeangaika na maneno ya nne ya uwanja baada ya kuweka mbinu za kiufundi kwenye timu yako.Naona sasa CCM wameingia mtegoni.Sijuuuii watachomoka vip
 
rostam! rostam! naona kitanzi kikininginia shingoni kwako!!!!! oh naota au hpan!!1, mh leo ni 20/1/2016, kumbe ni kweli, mahakama kuu yamhukumu kunyonga mfanyibiashara wa igunga rostam aziz!
 
Unajua tatizo letu ni upumbavu wa wana Igunga, maana pamoja na kuwanyea anvyotaka wanamuita mbunge wao na kumpa platform ya kutunyea anavyotaka. stupid people nachukia sana
 
unaposema ujinga what u mean? Usiwe na jazba, atoke ajibu kama wanamsingizia

Honestly, Dr. Mwakyembe akiwajibu Al Nuur ntamdharau moja kwa moja. Daktari wa sheria ujibizane na wahitimu wa chuo?(Sio University)
 
ndio hapo sasa. Huyu ndio kazi yake kulia lia, mara o wanamwaga pesa jimboni kwangu mara o wanataka waniuwe, acha tabia ya kujizushia mambo kutafuta huruma za wananchi, kama unaushahidi c upeleke mahakamani au muwahi yeye kabla haja kuwahi, MWAKYEMBE ACHA KULIALIA

Hebu tudokezeni kifupi, Dr. Mwakyembe ametoa explicit evidence ya majina ya watu, mpaka wa usalama wa Taifa, polisi, n.k. Ametaja namba za magari, mpaka za serikali, polisi na ubalozi.

Al Nuur wamepinga nini kuhusu hayo madai, tuleteeni hapa jamvini. I guess watakuwa wamesema kadanganya, and that's all they had to say, given wamepitia kisomo cha chuo tu.
 
Pamoja na uchanga wako kwenye JF lakini umenena kitu ambacho wengi humu wamekuwa waoga kukizungumzia. Huyu bwana ana bahati kwamba yuko Tanzania na ndiyo maana anaweza kuongea maneno ya kejeli na dharau iliyopitiliza kama anavyofanya sasa. Lakini kila mwizi ana arobaini zake na yeye asubiri zake zitafika tu! Asijione mjanja!

Nakubaliana kabisa nawa,siku za mwizi ni arobaini.anafikiri watanzania ni mazuzu.achague moja arudi alikotoka kabla hatujamfikia maaana siku si nyingi umma wa watanzania watapata ukombozi
 
Sijachangii hii mada, naogopa nitapewa ban au nitawainsult wana wa Igunga.
 
mmezidi uwongo mtachomwa vibya nyie...sura zilivyowashuka kama mbuzi wa yatima
 
WANAJF ACHANENI NA HUYU MPUMBAVU NA MJINGA WA KWANZA LA MSINGI THREAD YA MAANDAMANO YA KIMAPINDUZZ IKO WAPI AM ONLY FOR WAR AGAINST HAYA MAFISADI YA KIROHO CHADEMA SONGA MBELE:lol::spider:
 
Sura imekushuka mwenyewe bila hata haya wamtetea huyo popo mweupe unataka umdanganye nani leo kwamba ra ni mtu na wala si mindred
 
Back
Top Bottom