Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,343
Tulionya humu mapema sana kwamba , Moto utakaowashwa na Chadema kwenye Oparesheni 255, hakuna wa kuuzima, Kauli hii imetimia, Nadhani wote mmeona jinsi Katibu Mkuu wa CCM alivyojaribu na baada ya kuona Maji ya Shingo akaweka mpira kwapani .
Sasa leo Chadema imevamia Mkoa wa Mara na kuteketeza CCM bila huruma yoyote , Ambapo Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho , Tundu Lissu alipewa majukumu ya kuichakaza Rorya .
Elimu kabambe imetolewa kuhusu Umuhimu wa Katiba mpya sasa hivi , sasa kimbembe ni pale somo la Mkataba mbovu wa Bandari na DP WORLD , Umati wote umebubujikwa na Machozi utadhani ule Msiba wa MV Bukoba
Hebu jionee kwa uchache
Sasa leo Chadema imevamia Mkoa wa Mara na kuteketeza CCM bila huruma yoyote , Ambapo Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho , Tundu Lissu alipewa majukumu ya kuichakaza Rorya .
Elimu kabambe imetolewa kuhusu Umuhimu wa Katiba mpya sasa hivi , sasa kimbembe ni pale somo la Mkataba mbovu wa Bandari na DP WORLD , Umati wote umebubujikwa na Machozi utadhani ule Msiba wa MV Bukoba
Hebu jionee kwa uchache