Haya PA immeenda Chicao, je bado MM unaamini MR kushinda, at least with that 52%?
Duh!wakuu kumbe bado mpo jamvini?!hollo said:huu uchaguzi wamekaribiana sana
We nawee una matatizo viile vile sasa kutoa maoni yangu ni sawa na kujua kila kitu? kichwa kama embe la kukopa
aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
Love Fox Nuwz, Kama huwajui unawezafikiri Romney anashinda landslide hahahaha ahahahah!
Tupo mkuu,JF kwa kwenda mbele.Naona Obama kabanwa sana wamarekani hawajaona mabadiliko waliyoambiwa miaka minne iliyopita.Duh!wakuu kumbe bado mpo jamvini?!
Oyaaaahh......ngoma bado imelala kwenu hii.......Dems msijipe matumaini......Fox News mpaka kieleweke.......
aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
The Black Eyed Peas - I Gotta Feeling - YouTubeTupo mkuu,JF kwa kwenda mbele.Naona Obama kabanwa sana wamarekani hawajaona mabadiliko waliyoambiwa miaka minne iliyopita.
aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
Badilisha title ya thread fasta kabla wale wabaya wako wa Chadema hawajaamka.
Mbaya zaid Romney/Ryan first ticket to lose both candidates' home states since 1972 as Obama takes WI and MI
Hamwendi mahali bila Ohio,huko Fix wanasemaje kuhusu OH?What about FL?Oyaaaahh......ngoma bado imelala kwenu hii.......Dems msijipe matumaini......Fox News mpaka kieleweke.......