Romney kushinda kesho...

Romney kushinda kesho...

Status
Not open for further replies.
mzee samahani hivi kwanini vyama vingine havisimamishi wagombea kwenye nafasi ya urais?
Je kuna sheria yeyote inayowazuia?

Vinasimamisha sana ila ndio kuwa system yao ina favor vyama viwili tu. Ukiona sample ballot ya mgombea wa Urais kuna majina mengine kutegemeana na state na state (kila state ina sheria zake za watu kuingia kwenye orodha ya wagombea urais)

Angalia sampe hii:

sample-touchscreen-ballot-for-partisan-office-november-6-2012.jpg
 
And he is not doing that bad in Ohio especially with the white working class.

Absolutely, ila inashangaza hapa MI pamoja na kuwa vituo vimefungwa rasmi saa moja lililopita bado watu wako kwenye mistari wanasubiri kupiga kura!!!!
 
Absolutely, ila inashangaza hapa MI pamoja na kuwa vituo vimefungwa rasmi saa moja lililopita bado watu wako kwenye mistari wanasubiri kupiga kura!!!!

And in rural Virginia, Obama is doing better than in the previous election whilst holding on in the urban area.
 
And in rural Virginia, Obama is doing better than in the previous election whilst holding on in the urban area.

sidhani kwa sababu the northern part of Virginia ambapo Obama alitakiwa afanye vizuri zaidi (kuna high tech companies na colleges) inaonekana inaenda kwa Romney.
 
Michigan Obama amekuwa projected kushinda,ila Republican wamekuwa projected kukeep majority kwenye house.Florida hadi sasa wako tied at 50% each(Romney anaongoza kwa kura elfu na ushee).Ohio Obama anaongoza 55% na Romney anazo 44%,Obama anaongoza kwa kura 180,000 Ohio.

Ngoma nzito!
 
Haya PA immeenda Chicao, je bado MM unaamini MR kushinda, at least with that 52%?
 
Wisconsin goes to Obama. Just need Ohio and the game is over.

Romney's must win now as States are starting to disappear.
 
Miaka yote hiyo nilikuwa fine tu,inawezekana pia kuwa wewe ulikuwa hunielewi.Hakuna nlichojifunza ambacho kimenibadilisha.Sana sana nimekuwa a bit more patient,thats it.But i'm the same!

tatizo la mwanakijiji anajifanya kila kitu anajua. na wameshafuta comments zangu.
 
Haya PA immeenda Chicao, je bado MM unaamini MR kushinda, at least with that 52%?

Just watch.. lakini nadhani key iko FL tena.. kwani inaonekana the big upset itakuwa kwa Obama kushinda FL... kwani akishinda FL yuko assured to retain the presidency..
 
Haya PA immeenda Chicao, je bado MM unaamini MR kushinda, at least with that 52%?

Romney alicheshemsha sana PA. He should have gone there after the first debate.
 
Just watch.. lakini nadhani key iko FL tena.. kwani inaonekana the big upset itakuwa kwa Obama kushinda FL... kwani akishinda FL yuko assured to retain the presidency..

Nilitegemea Romney atashinda kilaini FL but it does not appear to be so.

Kwa stahili hii sidhani kama atashinda Ohio.
 
EMT yaani unajua hata Romney's campaign watakuwa so nervous kwa sasa, na Kama ni swala la wishful thinking, wangependa wake in BHO's position kuliko kwny hiy confederacy lck.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Leo mimi na Fox News tu......nasubiria Ushindi wa Kishindo wa Romney.......
 
Sijuhi nn kinawasukuma kubashiri mpaka sasa wakati matokeo yanaendelea kutangazwa....

anyway hakuna dhambi kufanya uchambuzi akinifu....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom