Romney kushinda kesho...

Romney kushinda kesho...

Status
Not open for further replies.
Na wewe wakati mwingine huna matatizo?Ama wewe ni malaika?Watu wengine bana!

unaona sasa; baada ya miaka yote hii nilidhani umejifunza kutulia na kusoma kitu kwanza na kuelewa kabla ya kureact. Take time to read na kama kitu unaweza kuwa umekielewa vibaya uliza ili mtu akueleweshe usije ukamwelewa mtu vibaya pasi ya sababu.
 
[B said:
jmushi1;4979663]Troy ni kuzuri sana tu,i aggree.Lakini haina maana automotive bail out haijausaidia uchumi wa Michigan.Consider the community at large[/B].

That is the point I was making; inawezekana Ohio mambo siyo mabaya sana lakini haina maana nchi nzima mambo siyo mabaya sana...
 
cnn projection inaonyesha Obama atachukuwa Ohio na Florida anaongoza kwa kura 90,00 na ushee.Hadi sasa Romney ana electoral votes 33 na Obama ana 3.Lakini ngoma bado mbichi sana.
 
unaona sasa; baada ya miaka yote hii nilidhani umejifunza kutulia na kusoma kitu kwanza na kuelewa kabla ya kureact. Take time to read na kama kitu unaweza kuwa umekielewa vibaya uliza ili mtu akueleweshe usije ukamwelewa mtu vibaya pasi ya sababu.
Miaka yote hiyo nilikuwa fine tu,inawezekana pia kuwa wewe ulikuwa hunielewi.Hakuna nlichojifunza ambacho kimenibadilisha.Sana sana nimekuwa a bit more patient,thats it.But i'm the same!
 
Miaka yote hiyo nilikuwa fine tu,inawezekana pia kuwa wewe ulikuwa hunielewi.Hakuna nlichojifunza ambacho kimenibadilisha.Sana sana nimekuwa a bit more patient,thats it.But i'm the same!

I see and I have noticed.
 
Hadi usawa huu Romney anaongoza Florida,Obama 42% na Romney 57%,kura zilizohesabiwa hadi sasa ni 55%,very close race hapo FL.

CNN electoral projection ni Obama 64 na Romney 56,mchuano ni mkali sana!
 
cnn projection inaonyesha Obama atachukuwa Ohio na Florida anaongoza kwa kura 90,00 na ushee.Hadi sasa Romney ana electoral votes 33 na Obama ana 3.Lakini ngoma bado mbichi sana.

Votes za Florida ni za town. Matokeo ya kura za vijijini bado.

Virginia, more turn out for black voters than in the previous election - more votes for Obama

Also independent voters are 10% up - they always support Republican.
 
Votes za Florida ni za town. Matokeo ya kura za vijijini bado.

Virginia, more turn out for black voters than in the previous election - more votes for Obama

Also independent voters are 10% up - they always support Republican.
Florida Romney anaongoza(kwenye county ambayo ni muhimu),lakini overall bado Obama anaongoza FL,tonight will be like a roller coaster ride.
 
Florida Romney anaongoza,tonight will be like a roller coaster ride.

Florida might go to him. Akikosa hapo akalale tuu.

Issue ipo Virginia. Obama akishinda hapa, Florida results will be irrelevant.
 
Hadi usawa huu Romney anaongoza Florida,Obama 42% na Romney 57%,kura zilizohesabiwa hadi sasa ni 55%,very close race hapo FL.

CNN electoral projection ni Obama 64 na Romney 56,mchuano ni mkali sana!
matokeo kamili tutayapata usiku huu?
 
matokeo kamili tutayapata usiku huu?
Thats what we're hoping for,tutakujulisha mkuu.Matokeo yanaweza kuwa usiku huu kama mpambano hautakuwa very close,kwasababu ukiwa close,itabidi wategemee kura nyingine za kuhesabiwa ambazo hazikuweza kuhesabiwa usiku huu ie absentee ballots ambazo inaweza kuchukuwa hadi wiki mbili kupata totals.
 
Florida might go to him. Akikosa hapo akalale tuu.

Issue ipo Virginia. Obama akishinda hapa, Florida results will be irrelevant.
Romney yuko mbele Virginia,ninahisi atalichukuwa jimbo hilo.Nina imani kubwa na jimbo la FL kwa Obama,however still too early.
 
Votes za Florida ni za town. Matokeo ya kura za vijijini bado.

Virginia, more turn out for black voters than in the previous election - more votes for Obama

Also independent voters are 10% up - they always support Republican.

Romney atachukua Virginia... comfortably... baadaye tuulizane how ...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom