Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

Sio Wapare, bali Vam-phare, au Va-athu / Va-asu. Katika jamii za Kichagga kwa mfano Wamarangu, Wakibosho, Je kuna maneno kama hayo?

Wapare au Waasu ni mchanganyiko wa makabila mengi ikiwemo Wakamba, Wataita, Wasambaa, Wazigua, Wachaga, na wengine. Habari kwamba waliwahi kufukuzwa mahali fulani na Wachagga ni uongo wa mchana kweupe.
Mkuu Mimi ni mpare / mwathu ila hili la kusema wazigua wasambaa na wachaga sidhani kama ni kweli ila wataita na wakamba ni kweli maana ndio asili ya wapare walipotokea.
 
Kuna watu wanapenda kuishi kiujanjaujanja na kudhulumu wenzao. Sasa ukifanya haya kwa mpare ndo unakuja mbio ooh wana roho mbaya, wapenda kesi nk.
Mpare hawezi kukukuta barabarani akakufungulua kesi hadi uanze wewe.
Commenti bora kabisa hii
 
Wapare wanakuchekea mdomoni ndani wamenuna ni mabingwa wa fitina,na ukabila na kupendeleana.Hata viongozi wengi wa dini hawapendi kushirikiana na wapare wanasema ni wabishi na wenye misimamo isiyo ya wastani.Hawa huenda kwa ubahili watasshika namba mbili baada ya watu wa Iringa na Njombe,maana wale kwa hila na unafki wanapaswa kupewa tuzo.
Basi ni nchi nzima sasa
 
Mtu anajifanyia bajeti mali zake na pesa zake alizopata kwa hasho lake wewe unamwita ni bahirI ana roho mbaya? Si utafute zako utapanye?
Roho mbaya na ubahili wa Wapare ilitokana na mazingira na maisha magumu. Hii ni baada ya kufukuzwa kutoka kwenye ardhi nzuri na Wachaga - Wapare = Wafukuze.

Kwa mazingira magumu katika ardhi kavu ya milima, ubahili na roho mbaya ilibidi ziwa ni silaha za maisha. Maisha haya ndiyo wameyazoea hadi leo.
 
Sema jomba mpare akiwa msabato ubahili unakuwa promax. Msabato wa kipare hali nyama kabisa..... halafu Mungu ni kama alijua usabato utawafaa sana wapare ndo maana ukaanzia huko kwa hapa Tanzania.
Hawali nyama
Hawali mafuta
Hawanywi pombe
Hawaoi zaidi ya mke mmoja

Hapa mzee lazima uwe tajiri
 
Kuna mpare chuoni nilikua namtania

Nyie ni watu wa kula samaki kwa Picha

Na yy akawa anakubali hilo
 
Wapare nimeishi nao sana, Hawana Roho mbaya, Wanapenda shule na ni watafutaji sana kama ilivyo kawaida ya watu wa kanda ya Kaskazini

Hawana Ubahili ila wana bajeti na mahesabu makali kabla ya kutumia pesa(Huo sio ubahili)

Tatizo la Wapare wengi ni Snitches, hata Wanaume, yaani anaweza kuwa Mshkaji wako au Mtu wako wa karibu Sheikh, ukamwamini kumbe anakuchoma kwingine, yaani anakunafikia haswa.

Hili nimeona kwa wengi kweli...japo naamini wapo wachache wasio na hiyo tabia ati
 
Nilimtandika mmoja kimasihara makumbusho pale uchochoroni tu kwenye michongoma.
Aisee badae navutwa mkono twende nyumbani.
Nyumbani wapi tena mi nakaa Migo🙍‍♂️,
Kanivuta kumbe hatua tano tu tumefika kwake.
Si tungeenda tu pale.
Na lilikua vizuri hapo Home full masnondo.
Nilipata shida sana kumwelewa.
Alikua mwandishi wa habari nipashe
Halima km uko hai mumeo nipo pia.
 
Back
Top Bottom