Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,349
- 27,986
Ni moja ya makabila machache sana Tanzania ambao jamii zao wengi wamefanya maendeleo makubwa kimaisha.Wapare kwa Ubahili Hilo lipo wazi.
Ni wachumi
Huwezi Kula pesa ya Mpare Kiholela.
Yaani ni ngumu kumuita Mpare Buzi lako.
Ingawaje wapo mmojammoja.