Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

Hawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Roho mbaya na ubahili wa Wapare ilitokana na mazingira na maisha magumu. Hii ni baada ya kufukuzwa kutoka kwenye ardhi nzuri na Wachaga - Wapare = Wafukuze.

Kwa mazingira magumu katika ardhi kavu ya milima, ubahili na roho mbaya ilibidi ziwa ni silaha za maisha. Maisha haya ndiyo wameyazoea hadi leo.
 
Sasa hili limshangazi la kipare nililo nalo , mbona ni litoaji sana, linanifanya kijana navimba sana hapa Dasilamu .

Wewe mtoa mada ndo utakuwa na roho mbaya sana , kwahiyo umekutana na wa kufanana na wewe 😎
 
Hawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Mimi sio Mpare ila nimeoa Mpare wa Makanya-Same,kwa kweli naona kwa huyu wangu au niseme familia yao ni tofauti kabisa na hayo uliyoandika.

Kuhukumu kabila/jamii fulani kwa sababu ya matatizo individual ya mtu mmoja mmoja,nafikiri si sahihi.

Sijajua mleta mada ni Kabila gani lakini kibongo bongo au Kwa Afrika nzima,tabia zinarandana.
●kila jamii ina malaya
●kila kabila lina matapeli
●kila kabila lina wezi
●Kila kabila ni masnitch
Nk nk nk
 
Kwa waliyemhifadhi hivi karibuni tu kwani huyo ndiyo Icon ya Wapare wote duniani. Hakuna Mpare asiyemshukuru Hayati.
Marehemu Cleopa Msuya ni icon wa wilaya ya Mwanga, sio wa Upare nzima. Upare upande wa Same ni eneo kubwa na ndio lenye idadi kubwa ya jamii ya Wapare. Na Same imekuwa na viongozi wengi ukilinganisha na Mwanga.
 
Roho mbaya na ubahili wa Wapare ilitokana na mazingira na maisha magumu. Hii ni baada ya kufukuzwa kutoka kwenye ardhi nzuri na Wachaga - Wapare = Wafukuze.

Kwa mazingira magumu katika ardhi kavu ya milima, ubahili na roho mbaya ilibidi ziwa ni silaha za maisha. Maisha haya ndiyo wameyazoea hadi leo.



Sio Wapare, bali Vam-phare, au Va-athu / Va-asu. Katika jamii za Kichagga kwa mfano Wamarangu, Wakibosho, Je kuna maneno kama hayo?

Wapare au Waasu ni mchanganyiko wa makabila mengi ikiwemo Wakamba, Wataita, Wasambaa, Wazigua, Wachaga, na wengine. Habari kwamba waliwahi kufukuzwa mahali fulani na Wachagga ni uongo wa mchana kweupe.
 
Wapare kwa Ubahili Hilo lipo wazi.
Ni wachumi
Huwezi Kula pesa ya Mpare Kiholela.

Yaani ni ngumu kumuita Mpare Buzi lako.
Ingawaje wapo mmojammoja.
Washirikina ku a dada tunakaa miaka 2 hatujawasiliana hufikiri namba yangu kaipoteza kama mm sasa akipiga baada ya kipindi kirefu ananiambia kama kuna mganga yeyote ninaemjua nimwambie hapo yupo kiwandani tu kwa wachina anaroga apate nafasi ya juu yaana hatari kama ukoma mtu hata 30 hajafka
 
Washirikina ku a dada tunakaa miaka 2 hatujawasiliana hufikiri namba yangu kaipoteza kama mm sasa akipiga baada ya kipindi kirefu ananiambia kama kuna mganga yeyote ninaemjua nimwambie hapo yupo kiwandani tu kwa wachina anaroga apate nafasi ya juu yaana hatari kama ukoma mtu hata 30 hajafka

Washirikina wapo lakini Wapare sio jamii ya kishirikina.
Kwanza uliwahi sikia mganga kutoka upareni huku mjini iwe Dark, Mwanza au Arusha?

Uliwahi kusikia matukio ya kuua wachawi au albino huko Upareni?

Uliwahi kusikia Upareni kuna Matajiri wengi ambao chanzo chao ni Sangoma?
 
Wapare wanakuchekea mdomoni ndani wamenuna ni mabingwa wa fitina,na ukabila na kupendeleana.Hata viongozi wengi wa dini hawapendi kushirikiana na wapare wanasema ni wabishi na wenye misimamo isiyo ya wastani.Hawa huenda kwa ubahili watasshika namba mbili baada ya watu wa Iringa na Njombe,maana wale kwa hila na unafki wanapaswa kupewa tuzo.
 
Back
Top Bottom