Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,816
- 58,446
Jukwaa la mapishi na waliokua wanakusema mmoja tunae hapa hapa...Ni wapi huko mkuu, mbona hukuniita niwatie milioni 10 10 za chai watibu njaa zao. Inamaana watanzania hawajui kwamba kumsema vibaya tajiri ni laana!!!
πππ ni wadada? Kama ni wadada ni maumbile yao sina cha kuwahukumu.Jukwaa la mapishi na waliokua wanakusema mmoja tunae hapa hapa...
Hahahah hiyo siyo risasi, ni bomu la mwishoππ πͺHaya mkuu tayari huku
πππ dah eti bomu!Hahahah hiyo siyo risasi, ni bomu la mwisho
Tatizo comments nyingi lakini muendelezo kidogo
Sawa mkuu nimepokea maoni yakoTatizo comments nyingi lakini muendelezo kidogo
π€£π€£π€£π€£π€£Picha likaendelea rajabu wa magomeni akaamua kuvaa mabomu na kuweka Nia ya kwenda kujilipua mbele ya ustadh na mdogo ake shaibu
Itakuaje πππ
Unaend kwenye vita huku unategemea tag la mama tunu SI Bora hata angekuwa Binti Sayunii ππ€£π€£π€£π€£π€£
π π
Binti sayuni mwenyewe kakimbia uzi baada ya kuona Poor Brain anataka kusaga kunguni πUnaend kwenye vita huku unategemea tag la mama tunu SI Bora hata angekuwa Binti Sayunii π
Dadek π π π πBinti sayuni mwenyewe kakimbia uzi baada ya kuona Poor Brain anataka kusaga kunguni π
fanya kweli basi Lamamaπ€Asante sana tajiri ngoja nisome
Nini tena Lababa?fanya kweli basi Lamamaπ€
π€£π€£π€£Dadek π π π π
π€£π€£π€£π€£π€£ kuna siku niliwahi kuingia kufanya ibada pale saba saba, yaani tangu naingia hadi natoka sikuelewa chochote, na vile made hebu tumepishana na wale jamaa dah ilikuwa shida tupu.Kuwa makini tajiri hawa maustadhi huwa wanajifunza Karate pale Sabasaba na wengine wapo Center Rahaleo. chunga tajiri asije kuwa miongoni mwao
Upo sahihi kiongozi.