Huku tajir huku rais....tusipo toboa sijui 😂😅😅 hapo kazi kwako tu Tajiri
Huku tajir huku rais....tusipo toboa sijui 😂😅😅 hapo kazi kwako tu Tajiri
Mkuu usiwe na shida hii shughul ni yetu lazma kuchukue jiko na kuweka historySawa mkuu, wewe na dosho12 nitawanunulia suti ya gharama zaidi barani kwa ajili ya hii ndoa.
Saana, nitashirikiana nanyi kupanga ratiba ya kila kitu upande wetu sisi (kiumeni)Mkuu usiwe na shida hii shughul ni yetu lazma kuchukue jiko na kuweka history
Yaah.....hiyo itakuwa poa sana muhimu bi harus asikimbie tuSaana, nitashirikiana nanyi kupanga ratiba ya kila kitu upande wetu sisi (kiumeni)
Kweli kabisa mambo mazuri hayahitaji haraka😃😃, na suti yangu bado ipo kwa fundi kaniambia mpaka alhamisi ndo itakuwa tayari hivyo ndoa isubirishe kwanza Tajiri😁😁Huyu mtoto ameelewa somo....ila haitaji haraka kiongozi mlete mshangazi kwanza mengine yafate au dosho12 unasemaje
🙄🙄 duh nalo neno. Lakini ninaimani anajuwa kuwa kumkimbia Tajiri ni kuikimbia pesa na kuikimbia pesa ni laana.Yaah.....hiyo itakuwa poa sana muhimu bi harus asikimbie tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa mambo mazuri hayahitaji haraka😃😃, na suti yangu bado ipo kwa fundi kaniambia mpaka alhamisi ndo itakuwa tayari hivyo ndoa isubirishe kwanza Tajiri😁😁
Ila nimepata taarifa kwamba suti utashughulikia wewe hivyo nimemwambia fundi aachane nayo tu
Sawa👏🏻👏🏻🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa mkuu lakini nimeshasema hapo juu wewe na Harmful mtavaa suti ya gharama zaidi barani afrika, achana nayo hiyo ambayo ipo kwa fundi.
Sana mkuu.Sawa👏🏻👏🏻
Huna baya Tajiri 😃😃😃
Leta maziwa kama unayo.Cocoa Tea!
CHAI...!
Maziwa ninayo! Katika Kende za JITU BANDIA ! Karibu unyonye!Leta maziwa kama unayo.
Kanda kende kindi kondo k.. ahaa sawa nakuja kunyonya😋Maziwa ninayo! Katika Kende za JITU BANDIA ! Karibu unyonye!