Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,924
- 36,842
nimekupigia phone jana hukupatikani LamamaNini tena Lababa?
nimekupigia phone jana hukupatikani LamamaNini tena Lababa?
Wee usiniambie 😄nimekupigia phone jana hukupatikani Lamama
YeahWee usiniambie 😄
😅😅 haya upige tena LababaYeah
ntakucheki mchana Lamama tuonge kinagaubaga 🥰😅😅 haya upige tena Lababa
Okay I’m waiting Lababantakucheki mchana Lamama tuonge kinagaubaga 🥰
🤣🤣🤣 huwezi kutuleka juu juu kidogo ilikuwaje hadi ukawindwa, alikuwa demu wa muhuni mmoja kati yao au?Duh wewe mshikaji umenifurahisha sana na story yako ,ni hapa nikaukumbuka msala wa keko machungwa kwa bibi kidunye jinsi nilivyowindwa na wahuni kisa demu wa mtaa .
Nikaja ponea kwa afande maliki ,pale barracks
😂😂😂 nipo mkuuNdugu mwandishi kadakwa na Ustaadhi nini ? 😀
Sehemu ya mwisho naweka leo jioni.tajiri mwendelezzo upo wapi sasa
sawa usisahau kunitagSehemu ya mwisho naweka leo jioni.
Pamoja kiongozi.sawa usisahau kunitag
Alikuwa demu wa muhuni ambaye ni kontawa wa mtaa kumbe anakula miti kwangu na kwa kaka kontawa .🤣🤣🤣 huwezi kutuleka juu juu kidogo ilikuwaje hadi ukawindwa, alikuwa demu wa muhuni mmoja kati yao au?
Hahahahaha😂😂😂 sina la kusema, mimi naweza hata kumpiga makofi Mama.
🤣🤣🤣🤣🤣Alikuwa demu wa muhuni ambaye ni kontawa wa mtaa kumbe anakula miti kwangu na kwa kaka kontawa .
Majasusi wa kontawa wakazipata taarifa wakausoma mchezo pasina mimi kujua nini kinaendelea ni hapo nikaanza kuwindwa ,kwakuwa na mimi nilikuwa na ukontawa wangu huko mitaa ya upanga basi kuna wahuni wa keko wananijua hivyo katika rabsha la mimi kusakwa na wahuni nipewe kipigo ikabidi wanitonye mapema kuwa nawindwa na kontawa wa mtaa pamoja na kikundi chake .
Ni hapo mtoto wa watu nikaanza kuishi kama yatima niwakujifichaficha si asubuhi si mchana ,kurudi mitaa ya nyumbani naogopa maana mshua ananisakama na hapo nimetoroka masikani ilikuwa so .
Finally nilijaa kwenye mikono ya wenye mtaa wao wakati wanaanza kipigo bahati ikawa kwangu nikachoropoka miendo mpaka kwa rafiki yangu afande Malick lengo aniokoe basi alitokea naye akawa awapigi biti kama nilivyotaka mimi ila ndiyo ikawa nitolee na kwenye kigeto changu sikurudi na sijui nini kilijiri
Kile kisauda kuna siku kilinicheki facebook eti kimenimiss nakumbuka nilikichamba mpaka nahisi kilizimia kabisa kwa kichambo kile