Risasi yangu ya mwisho

Risasi yangu ya mwisho

Jukwaa la mapishi na waliokua wanakusema mmoja tunae hapa hapa...
😂😂😂 ni wadada? Kama ni wadada ni maumbile yao sina cha kuwahukumu.

1744597536367.jpg
 
Kuwa makini tajiri hawa maustadhi huwa wanajifunza Karate pale Sabasaba na wengine wapo Center Rahaleo. chunga tajiri asije kuwa miongoni mwao
🤣🤣🤣🤣🤣 kuna siku niliwahi kuingia kufanya ibada pale saba saba, yaani tangu naingia hadi natoka sikuelewa chochote, na vile made hebu tumepishana na wale jamaa dah ilikuwa shida tupu.
 
Back
Top Bottom