Risasi yangu ya mwisho

Risasi yangu ya mwisho

🙏🙏🙏
WAKUU MNIWIE RADHI.
Pengine hii sehemu ya mwisho nikaiposti leo usiku sana au kesho mchana, mambo leo yameniwia mengi sana.

Ninacho fanya kwenye kuandika hivi visa ni kwamba sehemu ninayotaka kuipost leo naandika leo leo.

Nilijaribu kuandika vipande vingi ili niwe napost tu ila nilishindwa maana huwa siwi na msukumo wa kuandika.

Ila nikiandika sehemu moja na kuipost najikuta namaliza story fasta maana muda wote najihisi nina deni.
Nelly
Smooth Criminal
Harmful
Na wengine wote.

Nikimaliza hii nitawaletea kisa kilicho nitokea mwaka jana tu hapo.

Mshangazi ambae amechumbiwa na kutolewa mahali, nilituma maombi ya kazi akakubali Tajiri nikawa najiachia kwao bila kujua kinachoendelea.
 
🙏🙏🙏
WAKUU MNIWIE RADHI.
Pengine hii sehemu ya mwisho nikaiposti leo usiku sana au kesho mchana, mambo leo yameniwia mengi sana.

Ninacho fanya kwenye kuandika hivi visa ni kwamba sehemu ninayotaka kuipost leo naandika leo leo.

Nilijaribu kuandika vipande vingi ili niwe napost tu ila nilishindwa maana huwa siwi na msukumo wa kuandika.

Ila nikiandika sehemu moja na kuipost najikuta namaliza story fasta maana muda ote najihisi nina deni.
Nelly
Smooth Criminal
Harmful
Na wengine wote.

Nikimaliza hii nitawaletea kisa kilicho nitokea mwaka jana tu hapo.

Mshangazi ambae amechumbiwa na kutolewa posa nilituma maombi ya kazi akakubali Tajiri nikawa najiachia kwao bila kujua kinachoendelea.
Hili limeniumiza sana awamu hii imeniliza
 
🙏🙏🙏
WAKUU MNIWIE RADHI.
Pengine hii sehemu ya mwisho nikaiposti leo usiku sana au kesho mchana, mambo leo yameniwia mengi sana.

Ninacho fanya kwenye kuandika hivi visa ni kwamba sehemu ninayotaka kuipost leo naandika leo leo.

Nilijaribu kuandika vipande vingi ili niwe napost tu ila nilishindwa maana huwa siwi na msukumo wa kuandika.

Ila nikiandika sehemu moja na kuipost najikuta namaliza story fasta maana muda wote najihisi nina deni.
Nelly
Smooth Criminal
Harmful
Na wengine wote.

Nikimaliza hii nitawaletea kisa kilicho nitokea mwaka jana tu hapo.

Mshangazi ambae amechumbiwa na kutolewa posa nilituma maombi ya kazi akakubali Tajiri nikawa najiachia kwao bila kujua kinachoendelea.
Mabaya yako yote wapewe G55 Wewe huna changamoto kabisa Tajiriii😂😂😂
 
🙏🙏🙏
WAKUU MNIWIE RADHI.
Pengine hii sehemu ya mwisho nikaiposti leo usiku sana au kesho mchana, mambo leo yameniwia mengi sana.

Ninacho fanya kwenye kuandika hivi visa ni kwamba sehemu ninayotaka kuipost leo naandika leo leo.

Nilijaribu kuandika vipande vingi ili niwe napost tu ila nilishindwa maana huwa siwi na msukumo wa kuandika.

Ila nikiandika sehemu moja na kuipost najikuta namaliza story fasta maana muda wote najihisi nina deni.
Nelly
Smooth Criminal
Harmful
Na wengine wote.

Nikimaliza hii nitawaletea kisa kilicho nitokea mwaka jana tu hapo.

Mshangazi ambae amechumbiwa na kutolewa mahali, nilituma maombi ya kazi akakubali Tajiri nikawa najiachia kwao bila kujua kinachoendelea.
Jitahidi upost usiku sana, halafu kesho tuanze hiyo ya mshangazi, sema huna baya tajiri. Nimefurahi kusikia Unatupa bonus story ya mshangazi. Tupo pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom