Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,840
🤣🤣🤣 🙌 🙌Wale ambao mlitaka tajiri apigwe na ostadh poleni sana😂
Ostadh alishangaa mbona huyu mwamba analia hivi😂😂😂🚶🤣🤣🤣 🙌 🙌
Tayari mkuu.Tatizo comments nyingi lakini muendelezo kidogo
Asante Mheshimiwa.Huna baya tajiri
😂😂😂🤣🤣Ostadh alishangaa mbona huyu mwamba analia hivi😂😂😂🚶
Mshangazi ni lini mkuu😂😂😂🤣🤣
Nafungua kurasa kwa ajili yako mkuu, eleza unachokiona kwenye uandishi wangu kwa ujumla, yaani jiachie mkuu usiwe na wasiwasi hata kidogo, walinzi wangu nawapa ID yako waitambue kwamba si ID hatarishi kwa usalama wangu.Nilikuwa naandaa uchambuzi wa kazi yako ya fasihi, nikakumbuka tajiri hakosei, tajiri hachambuliwi,tajiri hana baya.
Tajiri hivi story zako ni chai, based on true story, ama ni fiction!
Huna baya Tajiri, tuna subiri story ya mshangazi tu😃😃😃. Na laki yangu ntumie kwenye ile namba ya hallotel voda nadaiwa songesha 😁😁😁Haya sina deni hapo, tukitoka hapa tunaenda kwa ule mshangazi.
Binti Sayunii
dosho12
Chica Gee
Red black
Harmful
kama nina baya semeni...
🤣🤣🤣 mtaisubiri kidogo mkuu. kesho naenda Botswana 🇧🇼 kupumzisha mwili nikirudi nitawaambia.Mshangazi ni lini mkuu
🤣🤣🤣 una shida gani mkuu?Tajiri huna baya nmemalizana nawe,ngoja nikalewe sasa 😂
Sawa kiongozi nimemwambia secretary atakufanyia maajabu hivi punde.Huna baya Tajiri, tuna subiri story ya mshangazi tu😃😃😃. Na laki yangu ntumie kwenye ile namba ya hallotel voda nadaiwa songesha 😁😁😁
Sina tatizo mkuu,nilichagua kuwa mlevi tu ni fungu nalo kama nyie matajiri😂🤣🤣🤣 una shida gani mkuu?
Maana mtu akienda kunywa ni starehe ila akienda kulewa ana tatizo fulani.
🤣🤣🤣 sawa mkuu kupanga ni kuchagua kikubwa ni kulinda ubingwa tu.Sina tatizo mkuu,nilichagua kuwa mlevi tu ni fungu nalo kama nyie matajiri😂
Swadakta mkuu, nitaleta Review na uchambuzi wa fani,maudhui, kufaulu kifani kimaudhui, na pia kutofaulu.Nafungua kurasa kwa ajili yako mkuu, eleza unachokiona kwenye uandishi wangu kwa ujumla, yaani jiachie mkuu usiwe na wasiwasi hata kidogo, walinzi wangu nawapa ID yako waitambue kwamba si ID hatarishi kwa usalama wangu.
Visa vitatu ambavyo nimevileta hivi karibuni vyote ni vya kweli yaani.
Hiki nilichomaliza leo, kile cha demu ambae alipandinsha mashetani feki ili nimle, na kile kingine cha mdada Laima ambae nilimtambulisha kwamba anaishi newala.
Ila nimewahi kuleta simulizi ya kutunga humu 1 tu inaitwa My Family hii hapa