Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,850
- Thread starter
- #201
umeni reply hujaandika kitu mkuu.Tajiri hivi story zako ni chai, based on true story, ama ni fiction!
umeni reply hujaandika kitu mkuu.Tajiri hivi story zako ni chai, based on true story, ama ni fiction!
itakuwa ni hitilafu kidogo, nimeandika tena mkuu rudi usome.umeni reply hujaandika kitu mkuu.
Duh mbona ni ajabu hii mkuu, niandike machache kuhusu utunzi uandishi wangu.Swadakta mkuu, nitaleta Review na uchambuzi wa fani,maudhui, kufaulu kifani kimaudhui, na pia kutofaulu.
Sema kwa sasa naumwa homa na malaria, nikiwa sawa nitaileta mkuu. Kazi zako zinavutia mpangilio wake huwa najiuliza umejifunzia wapi utunzi, kama utaendelea kuweka bidii utavuka level za kina E.Shigongo hata utawafikia kina E.Semzaba.
SAWA mkuu nitakutag.Duh mbona ni ajabu hii mkuu, niandike machache kuhusu utunzi uandishi wangu.
Kwanza kabisa niseme sina elimu kubwa ya darasani, yaani japo nina Hela za kufuru lakini primary yenyewe nilikimbia (ukiona mahali pana hitilafu ya kiuandishi shida ya kwanza ni hiyo)
Kwenye uandishi sijawahi jifunza mahali, kwa kuwa sio kitu ambacho nimekitolea macho sijaamua hata kuingia YouTube ama kwingine kujifunza.
Niliipenda sanaa ya uandishi kwa kusoma simulizi za jamaa anaitwa EDDY (Eddazaria Godwin Msulwa, kama sijakosea) nilikuwa nazisoma Kwenye kitochi kupitia Google hasa ile story ya Sorry Madam na nyingine mbili tatu hii ilikuwa 2016/17/18 kama sikosei, tangu nimeacha
Uko na uandishi mzuri mkuu...Nafungua kurasa kwa ajili yako mkuu, eleza unachokiona kwenye uandishi wangu kwa ujumla, yaani jiachie mkuu usiwe na wasiwasi hata kidogo, walinzi wangu nawapa ID yako waitambue kwamba si ID hatarishi kwa usalama wangu.
Visa vitatu ambavyo nimevileta hivi karibuni vyote ni vya kweli yaani.
Hiki nilichomaliza leo, kile cha demu ambae alipandinsha mashetani feki ili nimle, na kile kingine cha mdada Laima ambae nilimtambulisha kwamba anaishi newala.
Ila nimewahi kuleta simulizi ya kutunga humu 1 tu inaitwa My Family hii hapa 👇
![]()
Simulizi: My family
Simulizi: My Family Sehemu ya kwanza Mtunzi: kijana Masikini UTANGULIZI. Wamakonde tunasema "nnume alage mmahe anyete" Yaani "Mwanaume apambane hadi kukonda ili mwanamke anenepe" Simulizi hii ni zawadi ya valentain day kwa mtu mmoja humu jamii forums, Kama olivyo kwa konde boy ndivyo ilivyo...www.jamiiforums.com
Mimi ni mwana sanaa mkuu hivyo kila andiko lako moja utakalo andika kuhusu sanaa lina faida kubwa kwangu.
Karibu Mkuu.
Asante kiongozi.Uko na uandishi mzuri mkuu...
😂😂😂Nimemcheki pm kasema anatuma kwa kila anayesubir laki laki tena anaanza na wewe
Vp ameshatuma 😂😂
🤣🤣🤣🤣Ila inabidi leo atauonjeshe na story ya mshangazi kidogo hata mistari kumi hivi 😁😁 kufidishia uvumilivu wetu
Asante kwa muda wako tajiri, Huna baya wala deni. 😂😂😂 ila ustadhi, mikwara yote alafu mkaishia kusalimiana......salama mjombo?
Naomba uzi tag hapa hizo true story zakoNafungua kurasa kwa ajili yako mkuu, eleza unachokiona kwenye uandishi wangu kwa ujumla, yaani jiachie mkuu usiwe na wasiwasi hata kidogo, walinzi wangu nawapa ID yako waitambue kwamba si ID hatarishi kwa usalama wangu.
Visa vitatu ambavyo nimevileta hivi karibuni vyote ni vya kweli yaani.
Hiki nilichomaliza leo, kile cha demu ambae alipandinsha mashetani feki ili nimle, na kile kingine cha mdada Laima ambae nilimtambulisha kwamba anaishi newala.
Ila nimewahi kuleta simulizi ya kutunga humu 1 tu inaitwa My Family hii hapa 👇
![]()
Simulizi: My family
Simulizi: My Family Sehemu ya kwanza Mtunzi: kijana Masikini UTANGULIZI. Wamakonde tunasema "nnume alage mmahe anyete" Yaani "Mwanaume apambane hadi kukonda ili mwanamke anenepe" Simulizi hii ni zawadi ya valentain day kwa mtu mmoja humu jamii forums, Kama olivyo kwa konde boy ndivyo ilivyo...www.jamiiforums.com
Mimi ni mwana sanaa mkuu hivyo kila andiko lako moja utakalo andika kuhusu sanaa lina faida kubwa kwangu.
Karibu Mkuu.
Hatuna swali tajiri 😂😂😂Kama una swali lolote ndani na nje ya kisa hiki karibu nitakujibu
Asant tajiri huna kipengele, tunasubiri ya jishangazi sasaTayari mkuu tushaagana huku.
Pamoja mkuu, ila ungekuwa unaweka link ingependeza zaidi kwa sisi ambao hatupendi kusoma comments za kijinga. Japo comments zinamtia moyo mtunzi kujua kuwa tunafatilia story yake. AsanteTayari mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣 wangeamua kufanya hivyo pengine nisingekuwa naandika hii leo.Asante kwa muda wako tajiri, Huna baya wala deni. 😂😂😂 ila ustadhi, mikwara yote alafu mkaishia kusalimiana......salama mjombo?
😂😂😂😂 shaibu nae kaniangusha sana, mi nilijua moto utawaka kuanzia magomeni, chikongola, lilungu had mikindani.
Naomba uzi tag hapa hizo true story zako
🤣🤣🤣 tatizo kichwa kidogo hakina ubongo mkuu, ila kikiamua huwa kina kiendesha kichwa kikubwa.Nilisoma kwa uoga kama mimi ndiye napigana na Ustadhi🥲
Hongera tajiri kwa ujasiri mkubwa namna hiyo, lakini na wewe unapenda matatizo kumbe, sekeseke lote lile na bado ukaendelea kurusha nyavu duh! Wewe kiboko😁😁
😄😁😁 Asante mkuuKazi nzuri tajiri. Huna deni, huna baya tajiri 😂
🤣🤣🤣🤣 sawa kiongoziAsant tajiri huna kipengele, tunasubiri ya jishangazi sasa