Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,852
- 3,094
Mwanaharakati wa Kenya, Hussein Khalidi amesema kuwa wanaharakati wa Afrika Mashariki hawatishwi na kauli ya Rais wa Tanzania, Saia Suluhu Hassan ya kuwaonya Gen-Z wa Afrika Mashariki kuwa watachapwa viboko kila watakapokwenda.
Soma Pia:
Soma Pia:
Ameyasema hayo leo Mei 5, katika mahojiano yake na kituo cha radio cha Mo Radio 88.2FM Mombasa nchini Kenya.
