Ripota wa ITV Sam Mahela unaboa unaporipoti

Ripota wa ITV Sam Mahela unaboa unaporipoti

Ni kama anaripoti "Nyuma yangu ni bulldoza za manispaa zikiendelea na zoezi kabambe la kutokomeza nyumba za wapiga deal, eneo hili kwa mujibu wa sheria si makazi ya watu, lakini mabwenyenye wachache waliamua kutunisha misuli na kupajenga, muda umefika wakaisome namba, nikiripoti kutoka eneo la tukio, mimi ni sam manoti, kichwa upande, ITIVIII.
hahahahahshahahahahahahahahaha
 
Bora Samu Mahela hiv umewahi kumsikiliza Hemed Kivuyo hiyo jamaa ndio anaharibu kabisa sasa ndio anariport michezoo ni kero kubwa sipend anavyoripoti sana
 
mwingine sijui simon kabendera ws tabora hajui kuongea ukimuona mwili mkubwa kama tembo, shida sana huyu
 
Sam yuko juu sana

Tipota lazima uchangamke

Uwe na ari

uwe na uwezo wa ku-draw attention

Uwe focusef....directly

Uoneshe hali halisi....msisitizo wa inshara na vitendo

Mahela anasifa zote hizo.
 
Hiyo ndo raha ya kufanya kazi unayoipenda, wajinga watakuita una sifa ila we mwenyewe moyoni yaani hata hujielewi unajihisi una tiririka tu,hongera Sam keep it up My boy
 
Back
Top Bottom