Mabere Makubi, Simon Kabendera, Audax Mutiganzi.Huyo jamaa anaboa sana halafu kuna mwingine kutoka bukoba sijui anaitwa nani vile!
Teh teh teh
[emoji32][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi itv ni kama tbc waoga kunguru ana nafuu,zile news za kuisema serikali zilishapewa likizo,kwa sasa habari ni azam tu,muonekano mzuri,habari nyingi,watangazaji wako poaTaarifa ya habari iliyonyooka ni itv tuu
yule wa bukoba huwa anasahauga jina lake huwa anachukua sekunde kadhaa kuliload. 😀Huyo jamaa anaboa sana halafu kuna mwingine kutoka bukoba sijui anaitwa nani vile!
Na haina mpinzaniTaarifa ya habari iliyonyooka ni itv tuu
Mpinzani Azam wapo vizuri haswaaNa haina mpinzani
Ha ha ha haaaaa daaaa kweli kuvumiliana.MAISHA NI KUVUMILIANA. HUO NI MTIZAMO WAKO WENGINE TUKIONA ANAVYO REPORT TUNAFURAHI SANA. MIE PIA SIJAPENDA ULIVYOANZISHA HII THREAD ILA NIMEKUVUMILIA TU MAANA MAISHA NI KUVUMILIANA.
Ha ha haaaaaayule wa bukoba huwa anasahauga jina lake huwa anachukua sekunde kadhaa kuliload. 😀