Watangazaji Sam Mahela na Mzinga wa ITV jirekebisheni

nndondo

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
1,251
895
Nimeona leo niandike maoni yangu kuhusu wengi wa watangazaji wa ITV. Kuna jambo linaloipa TV hii kiburi kwa kuwa kuna mtu kawaita superbrand, yaani unakuwa the best amongst the worse. Wote tunajua TV za Tanzania are nothing to write home about.

Wameamua kujifungia na kujilinganisha na washindwaji ndio maana hakuna progress kabisa. Wale wanaoangalia Tv watakubaliana na mimi kuwa zaidi ya news, tunaangalia Isidingo na Telemonde, hakuna programs.

Nimeona juzi wameanzisha Jukwaa Huru, sijui linatofauti gani na malumbano ya Hoja, kipindi kile cha Ijumaa kimekufa na kuondoka kwa Masako. Shida ni kiburi cha Joyce na upofu wa Mengi kumuona kuwa hana mpinzani. Sasa hivi majuzi kumetokea kituko kipya cha huyo Mzinga, anayekazana ku mu emulate Gordon Gondwe pasipo mafanikio.

Unajua unapokuwa copy write ambayo ni mbaya kuliko original ndio inakua kazi. Angalieni Sam Mahela na michubuo yake na zile suti za kichina za mng'ao anavyo lower hiyo brand ni kituko. Tumesema sana kuhusu kile kituko cha Mara lakini yeye anaona ni fashion, na kwa kuwa hawafanyi research, hafahamu kuwa habari za Mara hazisikilizwi kabisa kwa kuwa wasikilizaji wanaposikia 'na mwandishi wetu toka Mara' wanahama channel. Ujumbe kwa Mzinga, hebu jaribu ku explore yourself, naamini una kitu chako kizuri tu, kuliko kuhangaika na kumuiga Gondwe, unatia kinyaa
 
Nimeona leo niandike maoni yangu kuhusu wengi wa watangazaji wa ITV. Kuna jambo linaloipa TV hii kiburi kwa kuwa kuna mtu kawaita superbrand, yaani unakuwa the best amongst the worse. Wote tunajua TV za Tanzania are nothing to write home about.

Wameamua kujifungia na kujilinganisha na washindwaji ndio maana hakuna progress kabisa. Wale wanaoangalia Tv watakubaliana na mimi kuwa zaidi ya news, tunaangalia Isidingo na Telemonde, hakuna programs.

Nimeona juzi wameanzisha Jukwaa Huru, sijui linatofauti gani na malumbano ya Hoja, kipindi kile cha Ijumaa kimekufa na kuondoka kwa Masako. Shida ni kiburi cha Joyce na upofu wa Mengi kumuona kuwa hana mpinzani. Sasa hivi majuzi kumetokea kituko kipya cha huyo Mzinga, anayekazana ku mu emulate Gordon Gondwe pasipo mafanikio.

Unajua unapokuwa copy write ambayo ni mbaya kuliko original ndio inakua kazi. Angalieni Sam Mahela na michubuo yake na zile suti za kichina za mng'ao anavyo lower hiyo brand ni kituko. Tumesema sana kuhusu kile kituko cha Mara lakini yeye anaona ni fashion, na kwa kuwa hawafanyi research, hafahamu kuwa habari za Mara hazisikilizwi kabisa kwa kuwa wasikilizaji wanaposikia 'na mwandishi wetu toka Mara' wanahama channel. Ujumbe kwa Mzinga, hebu jaribu ku explore yourself, naamini una kitu chako kizuri tu, kuliko kuhangaika na kumuiga Gondwe, unatia kinyaa
. Kusema binadamu mwenzio anatia kinyaa ni lugha chafu,isiyo ya kistaarabu na yakishetani.
wapo watu huathirika kutokana na kumpenda mtu flani lakini baada yamuda hurudia vema uasilia Wao nakuwa bora zaidi.
chuki bilasababu yamsingi ni umasikini mbaya mmmno
 
. Kusema binadamu mwenzio anatia kinyaa ni lugha chafu,isiyo ya kistaarabu na yakishetani.
wapo watu huathirika kutokana na kumpenda mtu flani lakini baada yamuda hurudia vema uasilia Wao nakuwa bora zaidi.
chuki bilasababu yamsingi ni umasikini mbaya mmmno
Tatizo lako huna exposure zaidi ya kufanyakazi pengine za chini hapa nchini, Utangazaji (maana hao sio waandishi wa habari) ni kazi muhimu sana, na unapofanya assess hufanyi mapenzi wala kutongoza, hivyo ndivyo inavyofanyika katika ulimwengu wa kazi, ndio maana tunaona watanzania wanaofanyakazi mashirika ya nje wengi wanashindwa ku fit, kwa kuwa hamtaki kuwa assessed. Utendaji kazi ni business issues, na ndio maana hatujawa assess watu wa TBC hapa, sasa unaanzaje kunichagulia vocabulary ya kutumia, wasaidie hawa vijana wabadilike nao siku moja waende BBC na kwingine, wale walioenda kule hawakusaidiwa na ITV walijiongeza, angalia wale wa ITV wakina Masako, Chuwa, Ufoo Saro etc, for years wamebaki hapo hapo hakuna kupanda labda kama wanapandishwa mishahara, hakuna tofauti na wakina Mzinga walioingia leo, na walio retire wako mtaani wamechoka, kina charles Hilary walizeekea hapo na kipindi cha habari nyepesi nyepesi, why mashirika ya nje makubwa yamejaa wa west africa, we are talking of young and up coming, wale wazee wa VOA walitembelea ukabila wa Hamza Mwamoyo wa kujaza watu wa watanga wenzake, thank God, lakini angalia, ni wale wale wa miaka chungu nzima na huyo akiondoka akaja mwingine, wata recruit maana wakina riyami wamezeeka, hizo nafasi hawa wa huku hawawezi kuzipata ng'o na u u super brand wao kwa kuwa hawana wanachojifunza, yule dada aliyekua anatangaza kiswahili aliondoka baada ya kwenda clouds na kujifunza mambo mapya kwa muda mfupi, tunawaambia kwa kuw asisi ni wadau wa ITV we want something better hatuna wivu wowote kwa kuwa hatutaki kuwa wasomaji wa habari, we are already better than that.
 
tunawaambia kwa kuw asisi ni wadau wa ITV we want something better hatuna wivu wowote kwa kuwa hatutaki kuwa wasomaji wa habari, we are already better than that.

Wewe NNdondo Kwa nini hukumwambia direct unakuja huku JF wakati wewe ni mwasisi wa ITV? Mweleze personally asipokusikiliza ongea na mkuu wa idara ikishindikana njoo hapa leta mrejesho. Umbea hatutaki. Sam Mahela nampenda he is not biased kwenye mambo ua utangazaji hasa siasa. Niseme ukweli sijatazama Tv nina miezi sasa hivyo na mimi mwongo.
 
Tatizo ninaloona pale ITV na redio one ni kuwa na majina makubwa ya vipindi lakini contents za ovyo.
Mfano kile kipindi cha dakika 45 kila kipindi kuanzishwa kwake ni kunasibu japo kidogo kipindi cha hard talk(BBC) au kile cha Riz Khan lakini cha kushangaza badala ya kuwabana waalikwa kwa maswali na hoja nzito wao wanatoa platform ya waalikwa kutamba na kujisifu watakavyo na ndio maana waziri/mkurugenzi/mbunge akialikwa akatai tena nasikia wengine wanaomba kualikwa. Hii yote ni udhaifu wa mhariri na mtangazaji.
 
Nimeona leo niandike maoni yangu kuhusu wengi wa watangazaji wa ITV. Kuna jambo linaloipa TV hii kiburi kwa kuwa kuna mtu kawaita superbrand, yaani unakuwa the best amongst the worse. Wote tunajua TV za Tanzania are nothing to write home about.

Wameamua kujifungia na kujilinganisha na washindwaji ndio maana hakuna progress kabisa. Wale wanaoangalia Tv watakubaliana na mimi kuwa zaidi ya news, tunaangalia Isidingo na Telemonde, hakuna programs.

Nimeona juzi wameanzisha Jukwaa Huru, sijui linatofauti gani na malumbano ya Hoja, kipindi kile cha Ijumaa kimekufa na kuondoka kwa Masako. Shida ni kiburi cha Joyce na upofu wa Mengi kumuona kuwa hana mpinzani. Sasa hivi majuzi kumetokea kituko kipya cha huyo Mzinga, anayekazana ku mu emulate Gordon Gondwe pasipo mafanikio.

Unajua unapokuwa copy write ambayo ni mbaya kuliko original ndio inakua kazi. Angalieni Sam Mahela na michubuo yake na zile suti za kichina za mng'ao anavyo lower hiyo brand ni kituko. Tumesema sana kuhusu kile kituko cha Mara lakini yeye anaona ni fashion, na kwa kuwa hawafanyi research, hafahamu kuwa habari za Mara hazisikilizwi kabisa kwa kuwa wasikilizaji wanaposikia 'na mwandishi wetu toka Mara' wanahama channel. Ujumbe kwa Mzinga, hebu jaribu ku explore yourself, naamini una kitu chako kizuri tu, kuliko kuhangaika na kumuiga Gondwe, unatia kinyaa
Ktk post yako kuna harufu kali ya husda imekujaa dhidi ya chombo hicho nabwatangazaji wake!
 
Hapo unawaonea maoni yako peleka kwa wahariri. Sam mahela ni jembe sana namkumbuka kipindi cha uchaguzi hakuna mtangazaji aliyefikia juhudi zake za kutuhabarisha toka vituo vya uchaguzi vyenye utata kama cha kalapina open university kndoni, mtoni azizi ally watu wamepiñda walikuwa wanasubiri kura zihesabiwe sam alipambana mubashara kutuhabarisha. Haogopi kuingia kitaani kutenda kazi yake
 
Tatizo ninaloona pale ITV na redio one ni kuwa na majina makubwa ya vipindi lakini contents za ovyo.
Mfano kile kipindi cha dakika 45 kila kipindi kuanzishwa kwake ni kunasibu japo kidogo kipindi cha hard talk(BBC) au kile cha Riz Khan lakini cha kushangaza badala ya kuwabana waalikwa kwa maswali na hoja nzito wao wanatoa platform ya waalikwa kutamba na kujisifu watakavyo na ndio maana waziri/mkurugenzi/mbunge akialikwa akatai tena nasikia wengine wanaomba kualikwa. Hii yote ni udhaifu wa mhariri na mtangazaji.
Umenena mkuu! Kuna wakati ukisikiliza maswali ya Mahela unabaki unashangaa. Wakati mwingine Mahela hugeuka kuwa host na mwalikwa kwa wakati mmoja!
 
Tuseme UKWELI
ITV sasa hivi imepoteza mvuto,hata watazamaji pia wamepungua,wenyewe watakuwa wanaona huko TCRA
Azam TV ina vipindi bora kwa sasa,kuanzia habari,mpaka makala mbalimbali.

Azam TV ndio baba lao,ikifika ijumaa narudi Clouds kuangalia SHILAWADUBasi,ITV vipindi vingi vimezeeka....hawako updated,ubora wa Picha uko Chini sana...Mixing ndio kabisaa

Kunahitaji mabadiliko ya Video HD,Programme ziwe za kisasa zaidi zinazoendana na Wakati
Watangazaji pia wavalishwe vizuri...wanavaa hovyohovyo utafikiri watangazaji wa TBC!!

Tamthiliya zao za Kiswahili ni za kiwango cha chini sana!!nadhani wajitahidi kutafuta Tamthiliya zenye ubora na sio maigizo yale...

Weekend Movie za Nigeria ndio hatari tupu
 
Back
Top Bottom